cyber ghost
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 239
- 162
Naomba kujua wanajamvi ivi kuna application hoyote inaweza kiwekwa kwenye simu ya android ikasaidia simu inapopotea au kuibiwa niweze kuipata hata baada ya huyo mtu kufanya factory/hard reset??
Root simu weka avast anti theft rooted
Dawnload 360 security
360 hiyo haifai tena nihatari ucjaribu
Mm natumia ikopoa tuu hata mtu akirestol coz nime join na gmail yangu so nikilog in naona locatio alipo
Naomba kujua wanajamvi ivi kuna application hoyote inaweza kiwekwa kwenye simu ya android ikasaidia simu inapopotea au kuibiwa niweze kuipata hata baada ya huyo mtu kufanya factory/hard reset??