Jinsi Awamu ya tano itakavyo...

Kessy Wa Kilimanjaro

JF-Expert Member
Jan 23, 2016
327
208
Serikali ya Magufuli ilivyoanza ilionekana haieleweki. Lakini sasa hivi nimeifikiria na kufika kwenye ufafanuzi. Naomba kama wewe hutakubaliana na mimi uisome hii hoja vizuri na unijibu kwa kutumia hekima na utafiti.

Hitimisho nililolifikia baada ya kuchunguza serikali ya awamu hii na mwenendo wake ni kwamba wanaiga au wanapata ushawishi mkubwa kutoka kwa Serikali ya China. Hili siyo swala jipya kwasababu China ilikuwa inajihusisha na Tanzania tangia miaka ya 1970. Lakini tatizo linatokana na Nia zao, mbinu zao, sera zao za kiuchumi na matokeo na madhara yake.

Ili Kuelewa sera za kiuchumi za China tunatakiwa kuelewa kwamba China inaendeshwa na chama kimoja ambacho ni cha kikomunisti. Na ni hicho chama pekee hamna vyengine. Na unaweza kujisomea mwenyewe lakini serikali inayooendeshwa na mfumo wa kikomunisti hauruusugi uhuru mkubwa wa kiuchumi, kifikra, kielimu na hata kimaisha.

China ilivyoanza kuendelea ilitokana na kuongezwa kwa uhuru kwenye sekta binafsi na liberalization ya uchumi. Lakini watu wengi wanafikiri ni kutokana na serikali ya china kupoteza mabilioni kwenye kujenga miundombinu. Hii ndiyo sera magufuli na awamu hii wanaiga na wanafikiri ndiyo italeta maendeleo.

Sera ya kujenga miundombinu kupitia kuongeza kodi itafeli. China walijaribu kufanya hilli jambo kwa kuongeza matumizi kujenga miundombinu lakini faida walioipata haikufikia na wala haikutosha kulipia matumizi na sasa hivi wako na moja ya madeni kubwa kuliko nchi nyingi duniani. Hii fikra kwamba kuongeza matumizi ya serikali na kuongeza kodi ili kujenga miundo mbinu itaiponza Tanzania na kuongeza deni letu ambalo sasahivi ni $16 billion plus.

Hii research kutoka kwa Financial Times imefanya ufafiti mzuri sana

More than half of Chinese infrastructure investments have “destroyed, not generated” economic value as the costs have been larger than the benefits, according to researchers at Oxford university, a finding that will fuel debate over the viability of China’s infrastructure-heavy growth model.

But such investment leads to significant waste while adding to China’s
worrying debt load, says the paper by Oxford professors, led by Atif Ansar, a lecturer at Oxford’s Saïd Business School.

“Far from being an engine of economic growth, the typical infrastructure investment fails to deliver a positive risk-adjusted return,” the paper found.

“Poorly managed infrastructure investments are a main explanation of surfacing economic and financial problems in China. We predict that, unless China shifts to a lower level of higher-quality infrastructure investments, the country is headed for an infrastructure-led national financial and economic crisis.”

“It is a myth that China grew thanks largely to heavy infrastructure investment. It grew due to bold economic liberalisation and institutional reforms, and this growth is now threatened by over-investment in low-grade infrastructure,” Mr Ansar said.
 
Kumbuka pia China iliweka mipango ya muda mrefu kwa sababu ya kuongozwa na chama kimoja.

China hawezi kuta rais anayeingia anafukuza wanafunzi kama alivyofanya kwa wanafunzi wa udom....

Uchina mpaka sasa wana mipango ya mpaka 2100 wakati sisi viongozi wanashindwa hata kutabiri kuwa mwaka huu hakuna mvua hivyo watu wajipange kwa chakula cha kutosha..

Uchina imewekeza kwenye kilimo kwanza kabla ya viwanda wakati sisi tunataka kuwekeza kwenye viwanda kabla ya kilimo.....

Sijui raw material tutazitoa wapi?

We have big deep deferences btn China and Tanzania......
 
China wana priorities na national development implementable policies ulizia bongo sasa uyasikie ya huku utachoka since kufa kwa ujamaa tunaenda tu kama kuku aliyekata kichwa
 
China wana priorities na national development implementable policies ulizia bongo sasa uyasikie ya huku utachoka since kufa kwa ujamaa tunaenda tu kama kuku aliyekata kichwa

swala siyo priorities bali ni uhuru wa kibiashara. Na natational development policies zitafeli au zinaishiaga kuwa hasara kwasababu hela zinazohitaji zinakusanywa kutoka kwa wafanya biashara ambao wangeweza kuendeleza biashara yao na hiyo hela.
 
swala siyo priorities bali ni uhuru wa kibiashara. Na natational development policies zitafeli au zinaishiaga kuwa hasara kwasababu hela zinazohitaji zinakusanywa kutoka kwa wafanya biashara ambao wangeweza kuendeleza biashara yao na hiyo hela.
Uhuru wa kibiashara ni capitalism (liberal economy) free market economy hii ndo foundation yake kisera (policies) uliza nchi yako inafuata nini then uje na majibu hapa maana kila mahali Rais ana mamlaka hata tax anauwezo wakukuambia upandishiwe na usiwe la kufanya
 
Serikali ya Magufuli ilivyoanza ilionekana haieleweki. Lakini sasa hivi nimeifikiria na kufika kwenye ufafanuzi. Naomba kama wewe hutakubaliana na mimi uisome hii hoja vizuri na unijibu kwa kutumia hekima na utafiti.


Hitimisho nililolifikia baada ya kuchunguza serikali ya awamu hii na mwenendo wake ni kwamba wanaiga au wanapata ushawishi mkubwa kutoka kwa Serikali ya China. Hili siyo swala jipya kwasababu China ilikuwa inajihusisha na Tanzania tangia miaka ya 1970. Lakini tatizo linatokana na Nia zao, mbinu zao, sera zao za kiuchumi na matokeo na madhara yake.


Ili Kuelewa sera za kiuchumi za China tunatakiwa kuelewa kwamba China inaendeshwa na chama kimoja ambacho ni cha kikomunisti. Na ni hicho chama pekee hamna vyengine. Na unaweza kujisomea mwenyewe lakini serikali inayooendeshwa na mfumo wa kikomunisti hauruusugi uhuru mkubwa wa kiuchumi, kifikra, kielimu na hata kimaisha.


China ilivyoanza kuendelea ilitokana na kuongezwa kwa uhuru kwenye sekta binafsi na liberalization ya uchumi. Lakini watu wengi wanafikiri ni kutokana na serikali ya china kupoteza mabilioni kwenye kujenga miundombinu. Hii ndiyo sera magufuli na awamu hii wanaiga na wanafikiri ndiyo italeta maendeleo.



Sera ya kujenga miundombinu kupitia kuongeza kodi itafeli. China walijaribu kufanya hilli jambo kwa kuongeza matumizi kujenga miundombinu lakini faida walioipata haikufikia na wala haikutosha kulipia matumizi na sasa hivi wako na moja ya madeni kubwa kuliko nchi nyingi duniani. Hii fikra kwamba kuongeza matumizi ya serikali na kuongeza kodi ili kujenga miundo mbinu itaiponza Tanzania na kuongeza deni letu ambalo sasahivi ni $16 billion plus.


Hii research kutoka kwa Financial Times imefanya ufafiti mzuri sana

More than half of Chinese infrastructure investments have “destroyed, not generated” economic value as the costs have been larger than the benefits, according to researchers at Oxford university, a finding that will fuel debate over the viability of China’s infrastructure-heavy growth model.

But such investment leads to significant waste while adding to China’s
worrying debt load, says the paper by Oxford professors, led by Atif Ansar, a lecturer at Oxford’s Saïd Business School.

“Far from being an engine of economic growth, the typical infrastructure investment fails to deliver a positive risk-adjusted return,” the paper found.

“Poorly managed infrastructure investments are a main explanation of surfacing economic and financial problems in China. We predict that, unless China shifts to a lower level of higher-quality infrastructure investments, the country is headed for an infrastructure-led national financial and economic crisis.”

“It is a myth that China grew thanks largely to heavy infrastructure investment. It grew due to bold economic liberalisation and institutional reforms, and this growth is now threatened by over-investment in low-grade infrastructure,” Mr Ansar said.
Nchi zote duniani zinamamlaka ya kukusanya mapato ndani ya nchi yake, mimi sioni kama serikali ya Rais Magufuli kukusanya kodi ni dhambi MUHIMU ZAIDI NCHI YA TANZANIA MPAKA SASA INATEGEMEA KODI MBALIMBALI KULETA MAENDELEO YA NCHI. ME NIKUULIZE KWANINI SERIKALI YA MAGUFULI KUKUSANYA KODI IMEKUA NI MWIBA?? AU IMEKUA NI KERO??
 
Nchi zote duniani zinamamlaka ya kukusanya mapato ndani ya nchi yake, mimi sioni kama serikali ya Rais Magufuli kukusanya kodi ni dhambi MUHIMU ZAIDI NCHI YA TANZANIA MPAKA SASA INATEGEMEA KODI MBALIMBALI KULETA MAENDELEO YA NCHI. ME NIKUULIZE KWANINI SERIKALI YA MAGUFULI KUKUSANYA KODI IMEKUA NI MWIBA?? AU IMEKUA NI KERO??
Ni ongezeko la kodi na deni la taifa ili tu wafikishe mipango yao ya kujenga miundominu . Wanakopa wasioweza kulipa na wanaishia kuongeza kodi.
Ongezeko la kodi ni kikwazo kwa biashara kukuwa. Nikuulize je ungetaka kukusanya 10% ya sh1000 au 30% ya sh100. Kwasababu kinachotokea ukiongeza kodi ni kwamba mfanya biashara habakiwi na hela ya kuikuza biashara yake. Kwahiyo leo unakusanya 30% ya 100 yake kesho bado unakusanya kiasi hicho hicho Kwasababu biashara yake haikuweza kukuwa kutokana na upungufu wa hela. Lakini unakusanya 10% ya 100, hapo atabakiwa na kiasi kikubwa cha kuikuza bishara na kesho faida yake itakuwa 1000. Na wewe kama mkusanya kodi mapato yameongezeka kwasababu sahivi unakusanya 10% ya 1000.
 
China wana priorities na national development implementable policies ulizia bongo sasa uyasikie ya huku utachoka since kufa kwa ujamaa tunaenda tu kama kuku aliyekata kichwa
Zaidi ya implementable kuna UWEZO NA NIA YA IMPLEMENTER. CCM ina watu irrational hatukupaswa waruhusu wafikie madhabahu at first place.Sasa hivi wanazunguka hapo hapo na kutuzungusha hapo hapo.
 
Hawatchoka kwa vile,wanapotukopesha wanatuacha tukicheka wao wanaiba mali zetu.Kisha wanatukumbusha deni ili tuwape tena malipo.Sasa hivi miradi yetu ni yao.Wansiamamia wenyewe miaka kadhaa wanachukua hela zao.Bado wanatuambia ni mkopo.
Yani wewe kaka ubarikiwe uwe na watoto mia ili tuwe na watanzania wengi zaidi wenye hekima kama wewe.
 
Na china wenyewe watachoka kutukopesha
Km warusi sasa hivi wanapiga watu weusi mitaani sio ubaguzi.Ila wameona jinsi tulivyowafilisi.Walipojaribu kutupa misaada ili tuamke na tuanze fanya nao biashara hakuna kitu tunaua. Mwisho misaada yote na mikopo haikufanikiwa, na bado tunajipanga kuomba tena bure km vile wao hawafanyii kazi hivyo vitu.
 
Uchina imewekeza kwenye kilimo kwanza kabla ya viwanda wakati sisi tunataka kuwekeza kwenye viwanda kabla ya kilimo.....

Sijui raw material tutazitoa wapi?

We have big deep deferences btn China and Tanzania......
kwa mfano wako ni kwamba tunatafuta frem ya kufungua biashara bila kujua tunataka kuuza nini

Mi nafikiri Mwalimu alikuwa sahihi kuanzisha sekondari na vyuo vya ufundi mchundo (Full Technician Certificates, FTC) Dar Tech, Arusha Tech na Mbeya Tech na Sec kama Moshi, Ifunda, Mazengo hii yote ili apate mafundi hasa hasa, na baadaye akaja na wazo la kuanzisha kijiji cha sayansi na Technologia, muda huo walikwishaanza kumharibu alighatuka kabla kijiji hakijaonekana. Wangeazima mawazo haya wapate pa kuazia
 
Naona mantiki yako Bw. Kessy.

Lakini pia mbali na kuiga China kuna suala la utashi na uwezo binafsi wa Mkuu wa Nchi. Mwl Nyerere alipata kusema hivi:-
"Mtu mwerevu akikushauri jambo la kipumbavu, wewe ukilikubali atakudharau......atakudharau sana sana....."

Hivyo kama tulishauriwa upumbavu (bila kujali aliyetoa huo ushauri) tukakubali na kuufanya sehemu ya sera na sheria zetu basi dharau na madhila yanayotupata sasa hivi yanathibitisha kuwa sisi (viongozi wetu) ni wapumbavu mno.
 
Back
Top Bottom