Jino lako linakusumbua!

mwenye kujua dawa nzuri ya jino anisaidie maana linauma xana

mkuu ninayo dawa ya kienyeji nitakupa bure kabisa, kwasasa nipo mwanza kama nawe upo huku tutafutane mkuu pole kwa maumivu
 
baada ya hapo daah nateseka mimi yani nishatoa meno ma wili na ili la tata ata miaka 23 bado
 
dawa ya jino plaiz na bisibisi.pale muhimbili.ina umaaaa
 
Ntaipata wapi hii mkuu? Bei jee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…