Kulala Chali nadhani ni watu wengi inawatokea.Rafiki yangu aliniambia eti ukilala Chali damu inatoka kwenye ubongo na kurudi nyuma ndipo unahisi kukabwa.Umenichekesha na kutingishwa una tatizo kama langu na mm huwa naomba mtu aje anitingishe!Kama ni mchana unasikia watu wanaongea unawaita waje kukutingisha hawasikii!
Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app