Jinajike ovyo

kitalolo

JF-Expert Member
Dec 4, 2006
1,827
708
Hivi jinajike zima uanajiachorachora halafu unaenda kujianika barabarani ili iweje?

Mi naona ka uchafu flani hivyo kwanza umri wako ushafika magharibi sasa vibiti vyetu vikikuiga tunasema vitoto havina maadili kumbe wamam nao mmeyapoteza

 
Aiseeee babaangu nisikia kutapika

ngoja nitoke humu kabla sijatapika mbege yangu
 
Wajinga ndio waliwao ukiona manyoa jua kaliwa, huyo mama anahitaji kufanyiwa cansering halaka lasivyo atatembea uchi kabisa au akapimwe akili, sura yenyewe ya jumapili hiyo,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…