Jimbo la same magharibi kuelekea uchaguzi mkuu 2015

Jimbo la same magharibi kuelekea uchaguzi mkuu 2015

fredy mziray

New Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
4
Reaction score
0
Wanazuoni na wasomi mbalimbali toka katika vyuo vikuu nchini wakishirikiana na makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wananchi wote wataelekeza nguvu zao zote kulikomboa jimbo hili ambalo ni sawa na halina mbunge kwa sasa kutoka katika ukoloni mpya wa chama cha mapinduzi. Tunasikitika sana kuona wananchi wakiteseka kwa shida ya maji na miundombinu mibovu. Pia tunastaajabu kuona halmashauri ikifumbia macho ujenzi mbovu wa barabara ya lami inayoelekea katika hifadhi ya taifa ya mkomazi ambayo imekuwa na viraka kabla hata ya kufikisha miaka mitano. Ni vyema CCM ikaanza kufungasha virago mapema kuliko kukutana na aibu itakayowakuta baada ya kupoteza jimbo hilo.
 
Wanazuoni na wasomi mbalimbali toka katika vyuo vikuu nchini wakishirikiana na makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wananchi wote wataelekeza nguvu zao zote kulikomboa jimbo hili ambalo ni sawa na halina mbunge kwa sasa kutoka katika ukoloni mpya wa chama cha mapinduzi. Tunasikitika sana kuona wananchi wakiteseka kwa shida ya maji na miundombinu mibovu. Pia tunastaajabu kuona halmashauri ikifumbia macho ujenzi mbovu wa barabara ya lami inayoelekea katika hifadhi ya taifa ya mkomazi ambayo imekuwa na viraka kabla hata ya kufikisha miaka mitano. Ni vyema CCM ikaanza kufungasha virago mapema kuliko kukutana na aibu itakayowakuta baada ya kupoteza jimbo hilo.

ccm lazima izikwe tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom