Jimbo la Butiama mwenezi wa CHADEMA ahamia ACT

Jimbo la Butiama mwenezi wa CHADEMA ahamia ACT

omusiranga

Senior Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
195
Reaction score
32
Wana jf. Ombwe hili la kuhama hama linaendelea. Tunawatakia kila lakheri. Ili mradi wasije baadae kula matapishi yao, kama walivyomeza matapishi makada wetu wa ukawa
 
Nimemsikiiza Kamanda maelezo yake, nikaona Kamanda shida yake ni Kugombea. Ila hajapata kura za kutosha. Ningekuwa mie sioni haja ya Kuhama na kutaka kugombea ubunge ACT ambapo sidhani kama atashinda kweli. Angetoa support kwa aliyeshinda, then yeye bado yuo kwenye roster in case UKAWA watashinda yeye angeweza kuwatumikia wananchi kwa kazi nyingine ambayo angeweza kupangiwa. Kamanda afikirie mara mbili.
 
ccm bwana mnatafuta pa kutokea hampaoni.
Hiyo nayo story sasa?
 
Bada Ya Kuingia Ikulu Lowasa Hiyo Ndio Itakua Mwisho Wa Vita Zidi Ya Mafisadi Kila Atae Zungumzia Mafisadi Ataozea Segerea
 
Wana jf. Ombwe hili la kuhama hama linaendelea. Tunawatakia kila lakheri. Ili mradi wasije baadae kula matapishi yao, kama walivyomeza matapishi makada wetu wa ukawa

nilichojifuza hapa ni kuwa wengi humu hawajielewi maana wakiama ccm kwenda cdm kwao ni shangwe ila wakiama kwa wala matapishi yao ya mwembeyanga hao ni wasaliti na wapishana na mishahara ,kweli wengi humu ni shida weredi wa siasa ni ziro ushabiki ni 100000000%
 
4u tena mumeanza kazi ya timu ya mwigulu kuandika majina kwenye mawe nyie kweli nyumbu
 
Back
Top Bottom