Kwanza nadhani kwa wote waliosoma st. Magret wanakumbuka jinsi tulivyolima mashamba na kung'oa visiki vya kahawa.
Je mnakumbuka tulivyokuwa tunacheza netball na Ashira Girls wanatufunga tunawazomea tunawakimbiza na makele.
Mnakumbuka mto chapadindi siku ya shida ya Maji tunaenda kuoga wanafunzi wa olaleni sec wanatukimbiza.
Ha ha jirani zetu Marangu sec wasichana tulikuwa hatupatani eti wanasema tunawaibia wanaume wao.
Manamkumbuka Mwalimu mmoja hivi nimemsahau alikuwa akijua umejificha uvunguni anamwaga maji,
Mankumbuka tunaiba mahindi tunayachoma kwenye jalala kwenye matakaataka (bila kutoa maganda lakini)
Manamkumbuka heardmaster mwl. barati akitooka kulewa hata saa 8 usiku anatuamsha anatuambia tulale salama anafungua barua zetu anazisoma ananza kutuponda
Lakini na mkumbuka headmistress Mary alipofika tu akatunyoa nywele huyu mama alikuwa na roho mbaya san sijui sasa hivi yuko wapi
Lakini ilikuwa raha sana tunakumbuka
Je mnakumbuka tulivyokuwa tunacheza netball na Ashira Girls wanatufunga tunawazomea tunawakimbiza na makele.
Mnakumbuka mto chapadindi siku ya shida ya Maji tunaenda kuoga wanafunzi wa olaleni sec wanatukimbiza.
Ha ha jirani zetu Marangu sec wasichana tulikuwa hatupatani eti wanasema tunawaibia wanaume wao.
Manamkumbuka Mwalimu mmoja hivi nimemsahau alikuwa akijua umejificha uvunguni anamwaga maji,
Mankumbuka tunaiba mahindi tunayachoma kwenye jalala kwenye matakaataka (bila kutoa maganda lakini)
Manamkumbuka heardmaster mwl. barati akitooka kulewa hata saa 8 usiku anatuamsha anatuambia tulale salama anafungua barua zetu anazisoma ananza kutuponda
Lakini na mkumbuka headmistress Mary alipofika tu akatunyoa nywele huyu mama alikuwa na roho mbaya san sijui sasa hivi yuko wapi
Lakini ilikuwa raha sana tunakumbuka