Jikosoe udhaifu wako [Thread]

Sio ugonjwa, hiyo ni tabia au kitu ambacho watu wachache sana wanacho, kusaidia watu ni ishara ya roho nzuri yenye huruma.
 
Na Mimi nataka unitunuku hilo pochi manyoya Bantu Lady nijipoozee mara moja moja kwako sio vibaya au unasemaje?
 
Unawapiga chini kwa nia njema kabisa, hapo unajiepusha na matatizo mkuu
Sasa ndio udhaifu wangu huo yaan nisingekua na huo udhaifu ningeishia kuumia kijingajinga kwa nikigundua tu anapigo za ku-sell her body kwa price fulani yaan nipo tayari nikanunue tu huko Badoo kuliko kua na mtu mwenye pigo za kuuza anauzia wangapi
 
Sasa ndio udhaifu wangu huo yaan nisingekua na huo udhaifu ningeishia kuumia kijingajinga kwa nikigundua tu anapigo za ku-sell her body kwa price fulani yaan nipo tayari nikanunue tu huko Badoo kuliko kua na mtu mwenye pigo za kuuza anauzia wangapi
Mkuu kwani huko badoo ndyo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…