Hii kitu mtu hawezi kuelewa kwa rahisi hasa hasa anaweza kudhani ni mjeuri, unajisikia, unajiona uko perfect, ukikosewa haujui kusamehe n.k ila wala sio hivyo kabisa.
Hii kitu kuna muda mtu unajiskia vibaya unatamani kubadilika ila ni ngumu haiwezekani.