Jijini Kigali

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
4,046
Reaction score
5,973
Maji safi na salama kwa wakazi wa Kanombe, jijini Kigali.
Mamlaka husika, ilionywa kwa tuhuma za kupoteza zaidi ya bilioni 7 za maji masafi, yaliyoandaliwa, yakaishia njiani bila kuwafikia watumiaji, na wenyewe mpaka sasa wanalalamika kudaiwa maji ambayo hata hayatoki, wanaishia kutafuta maji kwenye mabonde mbali mbali jijini humo.





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…