Jiji la Tanga msaada

Jiji la Tanga msaada

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,369
Reaction score
1,336
Wakuu niko Tanga hapa nataka kufungua biashara hapa maeneo nayopendekeza ni barabara ya 9, 10, 11, 12, na 13 yawe jirani sana na stand nilikua naomba kujuzwa bei au pengine msaada wa kupata frame yenyewe wakuu
 
Tanga Hapo kuna fursa sana, wenyeji biashara yao kuu ni chakula,
Ukitoka hapo nafaka na Masofa hasa 15...

Ungedili ma electronics utapata sana pesa.
 
Msaada naotak ni wa kupata chumba kwenye hiyo mitaa ndio mitaa naona ina muingiliano huo
 
Back
Top Bottom