Jiji la Mbeya, Usafi bila kinga

Jiji la Mbeya, Usafi bila kinga

Vivax

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
522
Reaction score
186
Asubuhi ya Leo jijini mbeya watu wanalazimishwa kuokota taka na askari;
1) bila kujali ratiba zao
2 bila kinga za kiafya
Je hii ni haki?
 
ni haki kama wavotupa maganda ya ndiz barabaran bila aibu.na Leo waokote bila
 
Safi sana hiyo. Kwani nyumbani watumia kinga gani?
 
Asubuhi ya Leo jijini mbeya watu wanalazimishwa kuokota taka na askari;
1) bila kujali ratiba zao
2 bila kinga za kiafya
Je hii ni haki?

Da kwahiyo wenzetu hiyo ndio kawaida yenu?
 
Kwanini kusiwe na fain kali kwa wanaotupa taka ovyo instead kuwashurutisha wananchi kuokota taka kila mwisho mwezi?
 
Mmezidi mno kwa uchafuzi wa mazingira. Mnatupa takataka bila kinga, ila mkiambiwa muokote mnadai kinga. Hongereen sana askari kwa kuwalazimisha hao wanyakyusa waokote takataka bila kinga.
 
Japo ni sawa mazingira yamechafuka mahali pengi na kuwalazimisha wanambeya kusafisha (and therefore kuwa teach a lesson ili wajifunze kuyatunze mazingira yao), si haki kulifanya hili jukumu bila kinga.
 
Back
Top Bottom