Hilo ndio jiji la dodoma ? Au tusubiri picha zingine ?Huu no mwonekano was Dom city (Barbara niliyopita)View attachment 877575
Hapo sawaKuna picha nyingine, ila ni katika barabara niliyopita nikiwa kwenye gari(panorama)
Kweli..ila nadhani Mbeya ina vumbi kibokoMji una vumbi kwelikweli...
Tukihamia kule tutakuwa wa njano kama Bush MenMji una vumbi kwelikweli...