Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Halmashauri ya Jiji la Arusha imeendelea kuwa Jiji lenye kutekeleza miradi na huduma bora kwa wananchi wake nchini.
Leo nimeongoza jopo la wataalum wa Jiji mbele ya kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa (LAAC) juu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na maagizo ya kamati na mapendekezo ya mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali za halmashauri ya Jiji la Arusha 2015/2016.
Kamati imeridhika na utendaji wa Jiji na mwaka ujao watatembelea Jiji la Arusha kujionea kwa vitendo.Pongezi kwa wah madiwani ,wataalam na watendaji wote na wananchi kwa kuendelea kutuunga mkono.Umoja wetu Nguvu yetu.
Leo nimeongoza jopo la wataalum wa Jiji mbele ya kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa (LAAC) juu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na maagizo ya kamati na mapendekezo ya mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali za halmashauri ya Jiji la Arusha 2015/2016.
Kamati imeridhika na utendaji wa Jiji na mwaka ujao watatembelea Jiji la Arusha kujionea kwa vitendo.Pongezi kwa wah madiwani ,wataalam na watendaji wote na wananchi kwa kuendelea kutuunga mkono.Umoja wetu Nguvu yetu.