Jihadhari na tapeli anayejifanya afisa wa TRA

Dec 20, 2021
5
18
IMG_5752.jpg
 
TRA wenyewe hela zetu zinaliwa na Hakuna hatua yeyote mnachukua, hii ni aina tu ya utapeli, ila mimi naona wote tu m matapeli.
 
TRA bana badala ya kumkamata kumpa haja ya moyo wake mnatangaza! kwan kuna matapeli wangapi jaman mpaka mhangaike na mtu mmoja! kamateni mtoeni meno ya mbele ili ikiwa anaongea haeleweki maneno yake bas
 
Waseme tu huyu ni kweli mfanyakazi wa Tiaraeiii wamemfukuza au kumsimamisha kazi, kwahyo hawataki tena ahusike na ukasanyaji kodi. Maana hawa jamaa wanapewa watu wa kudeal nao kipindi cha kazi. Sasa kaacha wanataka aache asisogelee wateja wao.
 
Back
Top Bottom