Kuna mtu humu anaitwa ontario alikuja kama wew mkuu, watu wakajitupa kwenye huo mchezo kichwa kichwa wakijua ni kwenda kudownload pesa, waliishia kuunguza account na kuanzisha uzii kuwa ontario kawatapeli, kiukweli walikuwa wavivu wa kusoma vitabu na makala mbalimbali ya hii biashara, kwa mentor na broker wao ndo walizinguana
Hakuna mtu atamsahau ontario, ye ndo mwanzilish wa hii kitu humu jf na kuwafumbua macho TMT na CEO wao waliishia kuitwa matapeli,
Note, forex ipo na ukienda pole pole usipoweka tamaa mbele unapiga pesa, mwenyewe huu mwez wa nne naifatilia, nafuatilia sana watu waliofilisika kwa sababu ya hii kitu, afuu najiongeza mwenyewe, uzur kuna demo acount, cent na standard, saiz napambana na demo kwanza, huku nafuatilia makala mbalimbali za watu waliofanikiwa na kufel, mpaka ntakapokuwa nondoo hasa ndo nita anza rasimi, nadhan baada ya mwaka ivii