[h=4]Mfano wa vitamkwa-ch,k,a,l,u na o.[/h][h=3]vitamkwa[/h]- Ni muanisho wa sauti zitumikazo katika lugha.
- vitamkwa hivyohuwasilishwa na herufi za alfabeti.
- alfabeti zimegawanyika katika konsonanti na Irabu
- Irabu za kiswahili zipo 5 nazo ni:-
a, e, i, 0 na u
- Konsonanti za kiswahili zipo 19 nazo ni:-
b,c,d,f,g,h,j,k,l,m,n,p,r,s,t,v,w,x,y na z.
-Jumla kuna alfabeti: 24 za lugha ya kiswahili.
-mawasiliano ya kutumia ishara si lugha kwani hayatumiii sauti wala maneno.
-kwahiyo mawasiliano baina ya wanyama hayawezi kuitwa lugha.
Tuonane kesho jamani