Jifunze kupiga beat kwa kutumia tempo za juu katika FL Studio [Part one]

panamo

Member
Nov 25, 2016
64
58
Hapa nitakuwa nashare idea, jinsi ambavyo unaweza kutengeneza beat kwa njia rahisi kabisa katika tempo za juu kuanzia 180 - 270 (BPM) kwa kutumia FL Studio, hapa nimetumia Nexus plugin, pamoja na Drums toka kwa Kanye west, lex na Alchemist lakini nimezifanyia layering, yaani nimepandanisha drums samples zaidi ya moja, na kuzifanyia simple tweaking tu ili zi hiti bila kuingiliana.
Hii tutorial ni nzuri hasa kwa mtu anaejifunza kuunda beat,.
kwa atakaehitaji expansion pack atanipa email, nitamtumia mapema sana.

N:B
Bass device ni muhimu, inaweza kuwa headphones n.k
 
Kupanga vizuri beat iweze kueleweka,
kupanga beat vizuri kwenye song au partten?na pia ni muhimu sana kuwa na aidia ya muziki kabla haujaanza kutengenenza muziki na ukiwana uzoefu wa kutosha unaweza ukapata idea humo humo ndani ya fl studio.Unatumia fl studio gani 12 au?
 
kupanga beat vizuri kwenye song au partten?na pia ni muhimu sana kuwa na aidia ya muziki kabla haujaanza kutengenenza muziki na ukiwana uzoefu wa kutosha unaweza ukapata idea humo humo ndani ya fl studio.Unatumia fl studio gani 12 au?
FL Studio 20.

Kwani kila Pattern unaweza tumia packs ngapi, mfano kila pattern moja ina kick pattern ya pili kinanda.


Au pattern moja unaweza piga kinanda umoumo kick na vingine.

Lingine linalonisumbua ni pale unapotengeneza beat lakini kwenye intro unataka lianze beat na l kuendeea lichanganyie na vinanda. Sasa huwa na harso sana kuweka ivyo la sivyo nikariri nilivyogongesha niende kwenye pattern nyingine niongeze na vinanda.

Mkuu mi mgeni ila napenda kuitumia fl studio
 
FL Studio 20.

Kwani kila Pattern unaweza tumia packs ngapi, mfano kila pattern moja ina kick pattern ya pili kinanda.


Au pattern moja unaweza piga kinanda umoumo kick na vingine.

Lingine linalonisumbua ni pale unapotengeneza beat lakini kwenye intro unataka lianze beat na l kuendeea lichanganyie na vinanda. Sasa huwa na harso sana kuweka ivyo la sivyo nikariri nilivyogongesha niende kwenye pattern nyingine niongeze na vinanda.

Mkuu mi mgeni ila napenda kuitumia fl studio
Tatizo huna aidia kichwani sikiliza mabeat y'a watu Fanya marudio ya kazi za watu Sana. Utaweza tuuu
 
Hapa nitakuwa nashare idea, jinsi ambavyo unaweza kutengeneza beat kwa njia rahisi kabisa katika tempo za juu kuanzia 180 - 270 (BPM) kwa kutumia FL Studio, hapa nimetumia Nexus plugin, pamoja na Drums toka kwa Kanye west, lex na Alchemist lakini nimezifanyia layering, yaani nimepandanisha drums samples zaidi ya moja, na kuzifanyia simple tweaking tu ili zi hiti bila kuingiliana.
Hii tutorial ni nzuri hasa kwa mtu anaejifunza kuunda beat,.
kwa atakaehitaji expansion pack atanipa email, nitamtumia mapema sana.

N:B
Bass device ni muhimu, inaweza kuwa headphones n.k

kidundamy@gmail.com
 
FL Studio 20.

Kwani kila Pattern unaweza tumia packs ngapi, mfano kila pattern moja ina kick pattern ya pili kinanda.


Au pattern moja unaweza piga kinanda umoumo kick na vingine.

Lingine linalonisumbua ni pale unapotengeneza beat lakini kwenye intro unataka lianze beat na l kuendeea lichanganyie na vinanda. Sasa huwa na harso sana kuweka ivyo la sivyo nikariri nilivyogongesha niende kwenye pattern nyingine niongeze na vinanda.

Mkuu mi mgeni ila napenda kuitumia fl studio
 
Hapa nitakuwa nashare idea, jinsi ambavyo unaweza kutengeneza beat kwa njia rahisi kabisa katika tempo za juu kuanzia 180 - 270 (BPM) kwa kutumia FL Studio, hapa nimetumia Nexus plugin, pamoja na Drums toka kwa Kanye west, lex na Alchemist lakini nimezifanyia layering, yaani nimepandanisha drums samples zaidi ya moja, na kuzifanyia simple tweaking tu ili zi hiti bila kuingiliana.
Hii tutorial ni nzuri hasa kwa mtu anaejifunza kuunda beat,.
kwa atakaehitaji expansion pack atanipa email, nitamtumia mapema sana.

N:B
Bass device ni muhimu, inaweza kuwa headphones n.k

naomba kufundisha jinsi ya kuitoa trial mode kwenye fl studio 20 pia kudownload prugin mfano nexus na hypersomic zinanisumbua sana kuzipata
 
Back
Top Bottom