Mi nadhani tujikite zaidi katika kujitahidi kuwa na moyo wa kutoachana, sidhani kama itakuwa vema tukijifunza namna ya kuachana, kuachana siyo kitu kizuri
Umeongea yangu. Kwa nini ufikirie kubomoa ukuta wa nyumba unaypjenga? Kwa nini binadamu sasa tunawaza kubomoa tu?
Kuhusu thread yako, mlishajiandaa kuachana, bila hata kuulizana kwa nini unachukua uamuzi huo?
Haiingii akilini kirahisi hivyo!
usiombe bana umwambie/uambiwe na mwanaume/mwanamke wako kwamba its over wee ukute mmoja alikuwa na ndoto umwoe/akuoe nakashatamba kila mahali huo ugomvi wake hauishi hivi hivi
Nachofahamu mimi kila m2 ana ka wehu kake ka kuzaliwa nako kama huamini (Jichunguze tu sometimes utajiona we noma)
but hivi mnadhani hao wazungu wenyewe huwa hawafanyi kama wanavyofanya dada na kaka zetu katika mahusiano?
inaweza kutofautiana kulingana na mazingira ila hata wao hayo yapo, halafu suala la wote kuwa wastaarabu hii mimi siipendi sana...Imagine wote tungekuwa wastaarabu humu JF unadhani modes wangekuwa busy? coz wanajua hakuna atakayechafua hali ya hewa janvini...
Namaliza hivi..kila m2 ana ka ustaarabu kake na ka wehu kake haijalishi amesoma au hajasoma ...tunatofautiana kwa kiwango fulani tu,
kama unabisha hebu fikiria ni mara ngapi umeshatukana TV kwa kuangalia ile jamaa ya kule pwani inatoa speech sijui spinach ??