UrbanSaint
Senior Member
- Aug 20, 2020
- 102
- 262
Kitu nilichojifunza kwenye maisha yangu kikubwa.
"Kuna watu watakudharau hauna kitu cha kuwapa kipya maishani mwao kwasababu wanajiona wamekuzidi elimu/pesa. Usiumie moyo endelea kujifunza utapiga hatua siku hadi siku, endelea kufanya kazi, UZOEFU, UTAKUJENGA utapata watu watakao kuskiliza taratibu siku hadi siku. "Jose wa 2020 sio sawa na Jose wa 2023. Huyu wa sasa ni JINI-MTU.
Dharau zao zitumie Kuwa bora. Wala usishindane nao.
Na kingine kuna mtu hatonunua bidhaa au huduma kwa sababu muuzaji ni wewe. yuko radhi akanunue kwa bei kubwa kwingine ila sio kwako. Usiumie jifunze kutatua shida za stranger (Mtu usiye mfahamnu). Hio ndio sababu sijawahi kuwa na hata 1% expectations (mategemeo) kwa watu wanao nifahamu. 100% nitawatumia strangers kuuza vitu wanataka.

Na silaha kubwa kwenye maisha yangu ni kujifanya mjinga, sijui kitu. Na ni kweli sijawahi kujiona najua kitu ukiacha ukora wa Online huu. Mimi ni mtu mpole sana hata sauti yangu inajionesha. Huwezi nigundua face to face kama ndio huyu Jose wa online. Hio mbinu inanifanya nijifunze kwa kila mtu. Kila binadamu ana kitu kizuri, ukiwa wa mimi ni best hutopata madini mengi kwa watu. Anyway Sijui nilitaka kusema nn

Nilianza hustle Kampala with 0% support. Ilinijenga kujua ya kwamba Hauhitaji kuwa na ndugu tajiri/mwenye cheo/ kujulikana ili kufika sehemu nzuri. Unahitaji AKILI KUBWA TU ya "Nataka kufika PALE, kwa njia YOYOTE HALALI"
Sijafika nakotaka Ila MTUMAINIE MUNGU BRO/SIS hata wakati huoni mbele, juhudi zako anaziona.
"Kuna watu watakudharau hauna kitu cha kuwapa kipya maishani mwao kwasababu wanajiona wamekuzidi elimu/pesa. Usiumie moyo endelea kujifunza utapiga hatua siku hadi siku, endelea kufanya kazi, UZOEFU, UTAKUJENGA utapata watu watakao kuskiliza taratibu siku hadi siku. "Jose wa 2020 sio sawa na Jose wa 2023. Huyu wa sasa ni JINI-MTU.

Dharau zao zitumie Kuwa bora. Wala usishindane nao.Na kingine kuna mtu hatonunua bidhaa au huduma kwa sababu muuzaji ni wewe. yuko radhi akanunue kwa bei kubwa kwingine ila sio kwako. Usiumie jifunze kutatua shida za stranger (Mtu usiye mfahamnu). Hio ndio sababu sijawahi kuwa na hata 1% expectations (mategemeo) kwa watu wanao nifahamu. 100% nitawatumia strangers kuuza vitu wanataka.


Na silaha kubwa kwenye maisha yangu ni kujifanya mjinga, sijui kitu. Na ni kweli sijawahi kujiona najua kitu ukiacha ukora wa Online huu. Mimi ni mtu mpole sana hata sauti yangu inajionesha. Huwezi nigundua face to face kama ndio huyu Jose wa online. Hio mbinu inanifanya nijifunze kwa kila mtu. Kila binadamu ana kitu kizuri, ukiwa wa mimi ni best hutopata madini mengi kwa watu. Anyway Sijui nilitaka kusema nn


Nilianza hustle Kampala with 0% support. Ilinijenga kujua ya kwamba Hauhitaji kuwa na ndugu tajiri/mwenye cheo/ kujulikana ili kufika sehemu nzuri. Unahitaji AKILI KUBWA TU ya "Nataka kufika PALE, kwa njia YOYOTE HALALI"
Sijafika nakotaka Ila MTUMAINIE MUNGU BRO/SIS hata wakati huoni mbele, juhudi zako anaziona.
