Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 711
- 1,508
Leo jioni nilikuwa na rafiki mmoja, alikuwa analalamika atatamani kujifunza programming lakini kiingereza kinachotumika kwenye vitabu na Youtube video kinamchangaya haelewi.
Ameniomba nimfundishe japo basic programming kwenye PL angalau 2.
Nimeona kama kumfundisha mtu mmoja ni upotevu wa muda. Nimeona kama nitaanzisha Youtube channel nikawa nafundisha programming naweza kusaidia wengi.
Mimi kama mimi naweza kufundisha hizi language
1.C
2.C++
3.C#
4.PHP
5.Perl
5.Python
6.Ruby
7.Swift
8.Javascript(React.js)
9.Java (Sio sana)
Na Database
1.MySQL
2.NoSQL
3.MongoDB
Nataka nianze kufundisha kuanzia mwakani (02/01/2020) nitumie Kiswahili na Kiingereza simple hata mtu ambae hana background ya computer aweze kuelewa,
Mwezi Wa 11 na 12 nataka ni-record angalau Basic programming in C.
Sijawahi hata ku-upload single video huku Youtube, sijui ni software gani zinatumika ku-edit video, sauti, kuweka maneno katikati ya video.
Nilikuwa naomba yafuatayo:
1. Kama kuna mtu anajua software nzuri ya kurecord screen ya computer naomba aniambie.
2. Mic gani nzuri ya kurecord real time audio
3. Na camera kwa ajili ya kuchukua video kwenye white board wakati natoa explanation.
Tutaanza na Basic hapa nitatumia Complier kawaida alafu advance tutategeneza project na kuiweka online.
Jina la video litakuwa hivi:
Lean Java Programming basic – Variables – (Swahili).
"Lean Java Programming basic" - jina la PL
" Variables" -topic iliyopo
" Swahili" - Lugha
Ameniomba nimfundishe japo basic programming kwenye PL angalau 2.
Nimeona kama kumfundisha mtu mmoja ni upotevu wa muda. Nimeona kama nitaanzisha Youtube channel nikawa nafundisha programming naweza kusaidia wengi.
Mimi kama mimi naweza kufundisha hizi language
1.C
2.C++
3.C#
4.PHP
5.Perl
5.Python
6.Ruby
7.Swift
8.Javascript(React.js)
9.Java (Sio sana)
Na Database
1.MySQL
2.NoSQL
3.MongoDB
Nataka nianze kufundisha kuanzia mwakani (02/01/2020) nitumie Kiswahili na Kiingereza simple hata mtu ambae hana background ya computer aweze kuelewa,
Mwezi Wa 11 na 12 nataka ni-record angalau Basic programming in C.
Sijawahi hata ku-upload single video huku Youtube, sijui ni software gani zinatumika ku-edit video, sauti, kuweka maneno katikati ya video.
Nilikuwa naomba yafuatayo:
1. Kama kuna mtu anajua software nzuri ya kurecord screen ya computer naomba aniambie.
2. Mic gani nzuri ya kurecord real time audio
3. Na camera kwa ajili ya kuchukua video kwenye white board wakati natoa explanation.
Tutaanza na Basic hapa nitatumia Complier kawaida alafu advance tutategeneza project na kuiweka online.
Jina la video litakuwa hivi:
Lean Java Programming basic – Variables – (Swahili).
"Lean Java Programming basic" - jina la PL
" Variables" -topic iliyopo
" Swahili" - Lugha