kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,299
- 6,102
Hello bosses.
Kwa wale mnaohitaji kujifunza au kujiboresha katika Computer Programming karibuni kwenye community ya tech255.com ambayo imegawanyika katika sehemu 3
1) Website
Hapa utapata kozi mbalimbali ambazo zimeandikwa kwa kiswahili na kupangiliwa vizuri. Zinapatikana kozi mbalimbali za programming na nyingine huongezwa
2) Forum
Hapa utaweza kuuliza swali lolote linalohusiana na computer programming kisha admins na experts wengine watakujibu. Vile vile kama unataka kutengeneza kitu fln unaweza kuuliza hapo kwenye forum na ukajibiwa.
3) Whatsapp Group.
Baada ya kufanikiwa kujiunga na tech255.com namba yako itaunganishwa kwenye group letu la whatsapp ambapo kila member ataweza kupata personal training kila weekend kutoka kwa admins na experts wetu. Cha kufanya itabidi tu member aulize swali au aseme kitu gani anataka kujifunza kisha atajibiwa
MEMBER ATAWEZA KUULIZA SWALI KWENYE FORUM HATA KWA KOZI AMBAZO BADO HAZIJAWEKWA KWA SABABU KUANDAA KOZI NA KUIPANGILIA INACHUKUA MUDA
Ili kujiunga tembelea tech255.com kisha jisajili na ununue credits (5000 Tsh tu) Maelezo zaidi unapewa ukitembelea tech255.com
Tayari tuko na members kadhaa kutoka humu na wanaridhika na huduma yetu.
Karibuni
Kwa wale mnaohitaji kujifunza au kujiboresha katika Computer Programming karibuni kwenye community ya tech255.com ambayo imegawanyika katika sehemu 3
1) Website
Hapa utapata kozi mbalimbali ambazo zimeandikwa kwa kiswahili na kupangiliwa vizuri. Zinapatikana kozi mbalimbali za programming na nyingine huongezwa
2) Forum
Hapa utaweza kuuliza swali lolote linalohusiana na computer programming kisha admins na experts wengine watakujibu. Vile vile kama unataka kutengeneza kitu fln unaweza kuuliza hapo kwenye forum na ukajibiwa.
3) Whatsapp Group.
Baada ya kufanikiwa kujiunga na tech255.com namba yako itaunganishwa kwenye group letu la whatsapp ambapo kila member ataweza kupata personal training kila weekend kutoka kwa admins na experts wetu. Cha kufanya itabidi tu member aulize swali au aseme kitu gani anataka kujifunza kisha atajibiwa
MEMBER ATAWEZA KUULIZA SWALI KWENYE FORUM HATA KWA KOZI AMBAZO BADO HAZIJAWEKWA KWA SABABU KUANDAA KOZI NA KUIPANGILIA INACHUKUA MUDA
Ili kujiunga tembelea tech255.com kisha jisajili na ununue credits (5000 Tsh tu) Maelezo zaidi unapewa ukitembelea tech255.com
Tayari tuko na members kadhaa kutoka humu na wanaridhika na huduma yetu.
Karibuni
