mkurugenzi1
Senior Member
- Mar 22, 2009
- 122
- 28
Ungependa kuwa kitugani kati ya hivi":;;
kitanda ulaliwe,
kapeti ukanyagwe
pipi unyonywe,
Mpira uchezewe
Msumari ushindiliwe
mbegu upandwe
Tunda uliwe
nazi ukunwe
Choo ukojolewe
Dafu uchokonolewe
Kamba ukazwe
Pilau upakuliwe!
Mtoto upakatwe!
AU mti upalamiwe!
kitunguu umenywe na ukatwe
chapati usukumwe ukandwe ikisha ukipwe huku na huku.....
tango uchongwe..
yai upasulie....
samaki uvuliwe
dagaaa uanikwe...
punda upandwe...
nijibu wala usiwe na wasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................!
kitanda ulaliwe,
kapeti ukanyagwe
pipi unyonywe,
Mpira uchezewe
Msumari ushindiliwe
mbegu upandwe
Tunda uliwe
nazi ukunwe
Choo ukojolewe
Dafu uchokonolewe
Kamba ukazwe
Pilau upakuliwe!
Mtoto upakatwe!
AU mti upalamiwe!
kitunguu umenywe na ukatwe
chapati usukumwe ukandwe ikisha ukipwe huku na huku.....
tango uchongwe..
yai upasulie....
samaki uvuliwe
dagaaa uanikwe...
punda upandwe...
nijibu wala usiwe na wasiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.................!