Katika pitapita zangu,nikiwa na shida ya kutafuta mwenza,mimi ni He/ nikakutana na binti mmoja tukazoeana,na tukapendana sana na nikampeleka mpaka hme,na nilivutiwa zaidi na zaid baada ya kuniambia kwamba yy ni bikira hajawai kktana na mwanaume yyte,mimi nkasema dont worry,ayo yote kama ni kweli si ntayaona tu,Kituko bas,i kumbe ana jamaa alishamwaid mpaka ndoa,Mungu alivyo mkubwa leo akaandika sms kwa nia ya kumtumia uyo jamaa si kasaau kaisendi kwangu, yani apa nlipo nimelowana jasho mwili mzima,cjui nchukue uamuzi gani juu yake,ila ananiomba msamaha wadau nifanyeje ihii mambo??
Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!
Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!
Nawee, bado tu unashobokea mademu wenye bikira?! Shobokea demu anaejuwa kubana nyonga na sio mwenye bikira; ala! Mi nakuambia hivi, demu barubaru lijualo kubana nyonga lina flavor mara 1000 zaidi ya yule mwenye huo upuuzi! We vipi?! Kwanza ngoja nikupe siri ya demu mwenye bikira( kwa maana ya kuwa hajawahi kukutana na mwanaume), kama kweli anayo hiyo bikira yenyewe! Siku akikupa vitu, anatarajia ayaone yale mautamu anayoyasikia kwamba yapo kwenye hako kamchezo! Sasa ikiwa atashindwa kuyaona hata baada ya muda kupita atajiuliza "mbona yale mautamu yenyewe siya-feel?!!" hapo tena atajiuliza "au ndo maana wanasemaga kwamba midume mingine sio mafundi!" Kinachofuata hapo ni kujiambia "kama bikira sinayo tena , sa ya nini kuendelea kubania!" Baada ya hapo atamgeukia yule mwingine ambae alishaomba sana lakini alikuwa anambania...ukumbuke, anapokuja kukupa wewe kuna mijamaa kibao alishaibania! Na hapo ndipo atakapomgeukia mmoja wao ili akajaribu kuyaona hayo mautamu aliyowahi kusikia. Uwezekano wa demu uliyemkuta na bikira kwenda kutoa sehemu nyingine baada ya muda mfupi ni mkubwa zaidi kuliko yule ambae ameshawahi kuonja huku na huko...shauri yako!
I second that as well.franky speaking, i don't know why some men are easily duped by this bikra thing...