JF udaku this MARCH

VII. Baada ya Slave kubainika alifundishwa na Mulugo aibu kuu yamnyemelea, adaiwa kumdanganya Dena Amsi kuwa alisoma nje, Dena Amsi adai hata hivyo alimuelewa kuwa alisomea nje ya darasa (yaani chini ya mti

ha ha ha.. ndo maana huyu Dena Amsi akawa na mahaba ya dhati kwa mpenzi wake Slave.. uongo mwingine bana..
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mhm
1 hii kali mweee!
 
Last edited by a moderator:
Unajua uliripoti vizuri sana ile ishu ya Mtambuzi kufumaniwa ukachaguliwa kuwa ripota wa Jf udaku with effect from that day, barua yako anakuletea Bishanga

Haa nimekumbukaaa! Basi nitatia juhudi niwe na tija zaidi na kufanya vizuri niwafurahishe mabosi zangu. We subiri tu tumalize Kwaresma uone nitakavokuwa natiririka hakuna rangi watakayoacha ona mafisadi Erickb52 et al
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…