Angelicious mimi sifichui siri za watu tena nastaili kupewa tunzo ya ufichaji siri mwaka huuha ha ha!!! uran umenifurahisha sana kweli huu udaku special, nampa pole miss neddy kumbe hakujua mmewe Excel ni TEAMbazaz? ndo mana me nilishindwana naye kwa sababu hiyo ila usijali mamy utazoea tu....we mine Daudi1 na Kibo10 ndo nini kufichua siri ya mwenzenu mtaja sababisha watu wafe bure, kwanza mmejuaje au nyie ndo wale wale?????
Angelicious mimi sifichui siri za watu tena nastaili kupewa tunzo ya ufichaji siri mwaka huu
Najuwa watu wengi wasio waaminifu kwenye ndoa zao sema huwa nakula mikausho kuepusha mauwaji ya kiufo ufo ila tuhuma zikizidi naweka kila kitu hadharani tena uran ni bonge la mchonganishi sasa dawa yake ipo.
Nabishaaaaaaa.
Sijawahi kuwa na mbeba boksi ila sasa nataka kujimuvuzisha kwa Desert Storm.
Anataka tufunge ndoa so mwenye pingamizi tunampa 21 days na atoe sababu not to mention evidence.
Kaizer, uran, kiwatengu, sosoliso, miss neddy
There is plenty on the table.....nyie weken tangazo mtakuwa served accordingly
Nabishaaaaaaa.
Sijawahi kuwa na mbeba boksi ila sasa nataka kujimuvuzisha kwa Desert Storm.
Anataka tufunge ndoa so mwenye pingamizi tunampa 21 days na atoe sababu not to mention evidence.
Naweka pingamizi!!!
Nabishaaaaaaa.
Sijawahi kuwa na mbeba boksi ila sasa nataka kujimuvuzisha kwa Desert Storm.
Anataka tufunge ndoa so mwenye pingamizi tunampa 21 days na atoe sababu not to mention evidence.
Kaizer, uran, kiwatengu, sosoliso, miss neddy
na wanaume wa JF mlivyoniandama mwaka huu?
Aisee kaka wa watu asighairi tu.
Muniache nipumue acheni kauzibe.
Manina nyie.
Nabishaaaaaaa.
Sijawahi kuwa na mbeba boksi ila sasa nataka kujimuvuzisha kwa Desert Storm.
Anataka tufunge ndoa so mwenye pingamizi tunampa 21 days na atoe sababu not to mention evidence.
Kaizer, uran, kiwatengu, sosoliso, miss neddy
Angelicious mimi sifichui siri za watu tena nastaili kupewa tunzo ya ufichaji siri mwaka huu
Najuwa watu wengi wasio waaminifu kwenye ndoa zao sema huwa nakula mikausho kuepusha mauwaji ya kiufo ufo ila tuhuma zikizidi naweka kila kitu hadharani tena uran ni bonge la mchonganishi sasa dawa yake ipo.
kumbe na wewe ni mbeba box?