Jf imerudi Kuna watu vichwa chini

Jf imerudi Kuna watu vichwa chini

Mhdiwani

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
650
Reaction score
712
Habari za siku nyingi wadau kwakweli maisha yalikua magumu sana bila Jf

Nimpongeze melo na jopo lake kwa kuirudisha hewani
Lkn kama kawaida kufa ni kufaana
Baada ya jf kufungiwa Kuna baadhi ya member ambao sio waamibifu walianza kufanya mambo ambayo sjayapenda

Kwanza nilistuka baada ya mtu anaejinasibu kua ni mbali wa kutunga riwaya na watu walimsifia sana kule Fb
Na riwaya inayompa sifa mpk sasa ni riwaya ambayo mdau wetu mkuu hapa jukwaani
Steve mollel ndo aliitunga inaitwa Anga la washenzi
Sjakataa mtu kushea story lkn mpe heshima alietunga kama mdau mmoja anaitwa Shunie hua anaweka jina la mtunzi

Sshv anataka kuweka group WhatsApp ili watu walipie ,,.
Hii sjapenda na nikamuuliza vp naweza kumpata mtunzi wa hii hadithi akasema Ndio akanitumia Namba zake yeye

Mwisho kbs niwaombe ndugu zangu tusifanye hivyo hii dhuruma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani nilikuwa sina amani
 
Yote haya tuliyataka 2015 octoba sasa wacha tuisome namba eeh
 
Habari za siku nyingi wadau kwakweli maisha yalikua magumu sana bila Jf

Nimpongeze melo na jopo lake kwa kuirudisha hewani
Lkn kama kawaida kufa ni kufaana
Baada ya jf kufungiwa Kuna baadhi ya member ambao sio waamibifu walianza kufanya mambo ambayo sjayapenda

Kwanza nilistuka baada ya mtu anaejinasibu kua ni mbali wa kutunga riwaya na watu walimsifia sana kule Fb
Na riwaya inayompa sifa mpk sasa ni riwaya ambayo mdau wetu mkuu hapa jukwaani
Steve mollel ndo aliitunga inaitwa Anga la washenzi
Sjakataa mtu kushea story lkn mpe heshima alietunga kama mdau mmoja anaitwa Shunie hua anaweka jina la mtunzi

Sshv anataka kuweka group WhatsApp ili watu walipie ,,.
Hii sjapenda na nikamuuliza vp naweza kumpata mtunzi wa hii hadithi akasema Ndio akanitumia Namba zake yeye

Mwisho kbs niwaombe ndugu zangu tusifanye hivyo hii dhuruma
Mkanye aache hiyo tabia
 
Back
Top Bottom