JF Expected Downtime: October 23, 2019

Status
Not open for further replies.
Waiweke hii kitu kwa app pia pawe na urahisi katika ku-mention/ku-tag
 
Kuna kipindi nilikua addicted na jf tangazo kama hili lilikua linaniumiza sana...Lakini sasa hivi waipige chini hata mwezi tu

Naipenda sana JF lakini haijawahi kuwa addiction yangu
 
Jaman kwa wale wana computer wenzangu leo uo mda majamaaa watafanya
"Git push -u orgini master"
 
Mungu ibariki JF
 
NOTIFICATION
NOTIFICATION
NOTIFICATION

Kwenye App Haziji Angalien Na Hilo,
 
Semeni tu ukweli kwamba mmeshtuka na kauli za Musiba😅😅😅😅
 
Oki dokie

Ila hili la Notifications kwenye app ni tatizo sugu sasa kama la kuchota maji kuwawekea viboko kwenye bwawa
Sijui nimeandika nini
 
Invisible

Kuna mada nyingi sisi hatutaki ziona japo wengine wanataka ziona kwanini usituwezeshe tuweze kuzuia kuona hizo mada.
Mfano mtu kaweka mada kuhusu ushoga na mimi sitaki ionekane kwangu
Au
Mtu anaandika utoto na mimi sitaki kuuona baada ya kusoma mara ya kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…