bafetimbi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 1,085
- 1,754
Wadau bafu ni moja tu na muda wa kuoga ni mmoja hakuna mtu kuoga kivyake..ewe mwanamke wataka nani akusugue mugongo kwa mafuta ya Olive Oil na ewe mwanaume mwenzangu wataka nani akuchane ndevu na akuwekee kichwa kifuani wakati ukimusugua mugongo