Kama unahitaji jezi za Zamalek size yoyote ni PM
sidhani kama ni kweli hapo kwenye wekundu wa msimbazi,wewe ni shabiki wa mnyama simba bana,si useme tu,na mtavua wenyewe hizo jezi zenu za Zamalek a.k.a. SimbaZinapatikana wapi mkuu.
Mi ni shabiki mkubwa sana wa Zamalek.
Kama unahitaji jezi za Zamalek size yoyote ni PM
Kwani Yanga ni timu ya taifa? Mbona kuna wachezaji siyo raia wa Tanzania wanaichezea Yanga. MiYanga sijui imezaliwa wapi....Majitu mengine sijui yamezaliwa wapi... kwa hali hii soka la bongo kwishney..... sasa unategemea nini watakapokuja kiyovu hapa?? wajinga ndio waliwao acha tuendelee kuushangaza ulimwengu in a long run tunajiumiza wenyewe kama nchi.
Una jina la kibiashara wewe, uko top!
Mtaolewa na hao waarabu.
Zamalek na nyie wapi na wapi ??
Au ndio mabasha?
Nitawashangaa wanaume watakao vaa
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Dar Young African
Niliwauzia sana jezi za TP Mazembe, leo unageuka...acha bana...Yanga na Simba siyo timu za taifa.
Kama unahitaji jezi za Zamalek size yoyote ni PM
Kama unahitaji jezi za Zamalek size yoyote ni PM