Uzuri wa jezi hauna maana katika soka. Cha msingi ni uzuri wa timu na wachezaji wenyewe. Mfano mzuri ni zile jezi ya Ujerumani Magaharibi katika kombe la dunia la 1990 au za Argentina, Inter Milan, AC Milan na Juventus, jezi mbaya ila kutokana na makali ya timu zenyewe zinaheshimika mpaka leo.