Jezi mpya kwa msimu wa 2023/24 zimeanza kutoka.

bakundande jr

JF-Expert Member
Oct 22, 2021
507
670
Habari za mda tena wadau na wapenzi wa kandanda humu jukwaani.
Ikiwa tunaelekea mwisho wa msimu wa kimashindano 2022/23 barani ulayq na kwingineko duniani. Timu mbalimbaili zimeanza maandalizi ya msimu ujao kwa kutangaza ratiba zao za pre_season zikiwa na malengo ya kuimarisha vikosi vyao ndani ya uwanja.
Ila nje ya uwanja katika mtazamo wa kibiashqra timu hizo zimeanza kutoa jezi zitakazotumika msimu ujao.
Usikae mbali na uzi huu kwa updates mbalimbali kuhusu jezi zitakazotumika msimu ujao
 
Habari za mda tena wadau na wapenzi wa kandanda humu jukwaani.
Ikiwa tunaelekea mwisho wa msimu wa kimashindano 2022/23 barani ulayq na kwingineko duniani. Timu mbalimbaili zimeanza maandalizi ya msimu ujao kwa kutangaza ratiba zao za pre_season zikiwa na malengo ya kuimarisha vikosi vyao ndani ya uwanja.
Ila nje ya uwanja katika mtazamo wa kibiashqra timu hizo zimeanza kutoa jezi zitakazotumika msimu ujao.
Usikae mbali na uzi huu kwa updates mbalimbali kuhusu jezi zitakazotumika msimu ujao
Juventus tayari wameqchia home kit. Umeionaje kwa upande wako?
FB_IMG_1683898216392.jpg
 
Nawewe mtoa mada umeingia mkenge wa TWitter?Jezi za Ulaya ngum sana kuvuja hizi ni za watu tu(wa hovyo) wametengeza zitavuja za yanga ila sio puma,adidas,nike e.t.c
 
Huyu jamaa kawaida yake mkitaka kumuacha anakiwasha shida mkimuongezea mkataba
Anajitahidi kuna game ya kwanza alivyotoka injury juve walipigwa 2-0 HT alivyoingia dakika ya 50+ ngoma iliisha 4-2 juve akashinda sema ndoivo team nayo ishajifia pale Jijini Turin
 
Anajitahidi kuna game ya kwanza alivyotoka injury juve walipigwa 2-0 HT alivyoingia dakika ya 50+ ngoma iliisha 4-2 juve akashinda sema ndoivo team nayo ishajifia pale Jijini Turin
Juve wakienda spain watapigwa kama ngoma youseff wa sevilla sio mtu yule
 
Arsenal kama kawaida huwa wanatoa jezi nzuri ndio sehemu pekee yanafanya kazi kwa ufanisi EPL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom