Jezi feki za Simba SC ni mradi wa mzabuni?

Jezi feki za Simba SC ni mradi wa mzabuni?

Mbabani

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
2,505
Reaction score
7,176
Hii imenishangaza sana, siku ya uzinduzi wa jezi za klabu ya Simba kwa ajili ya msimu wa 2026/2027 ukifanyika Ngorongoro.

Siku hiyo hiyo jioni nimekutana na jezi feki nyingi sana zimetapakaa mtaani kwa bei ya 10,000-20,000.

Je, mzabuni ndiye anahusika ili kujiongezea faida mara dufu?

NB: Ushahidi ninao, jezi feki ni nyingi sana mtaani.
 
Mimi huwa nawashangaa. Jezi zenye soko ni hizi za buku 7, kwa nini mzabuni anang'ang'ana na hizi za buku 45. Kwa nini asilete jezi kulingana na uhtaji wa soko? Unaweza ukang'ang'ania bei kubwa ukawa unapata hasara badala ya kuleta zinazouzika.
 
Wangetangaza kwamba kuna jezi za ubora wa chini kwa bei ya 10,000 au 15,000 na jezi ya 45,000 kwa ubora tofauti.
Iko hivi
1. Ili mzabuni apate faida maradufu na kutoa 10% anaingiza mzigo mkubwa lakini TRA ana under declare
2. Kwa sababu hizohizo anaingiza mzigo mwingine unaouzwa mtaani kama feki
 
Back
Top Bottom