Jezi ni Kali sema kunakitu kimoja hawakuwa makini.walitakiwa wawe wabunifu ingenoga.
RAMANI ya Afrika. Hapa ndio wabunifu kidogo wameteleza, Najua dhsmira yao ilikuwa ni kuleta maudhui na maana halisi ya Young Africa .
Lakini ukubwa wa mchoro Wa ramani hiyo imeharibu muonekano Wa jezi. Haswa ukizingatia ramani yenyewe kuweka ubavuni haikupi we we mtazamaji tafsir kamili.
Pendekezo langu ,japo ndo ishatoka nafkir kama wabunifu wangeona mbali haya ndo maeneo ramani ingekaa na kuleta muonekano mzuri
1 Chin ya Maandishi ya SPORT PESA hili ni eneo zuri kabisa kwani ingeliwekwa ramani ndogo ya wastani ingependeza zaidi
2 BEGANI