Wakuu
Hakika maisha kutesa kwa wazamu wazee wetu walimaliza misemo yote!
Hii inchi ina raia wepesi sana wa kusahau mambo ndani ya muda mfupi, juzi tu hapa alikamatwa aliyekuwa DC wa Hai akarundikiwa makosa kibao ambayo kwa nafasi yake ni ngumu sana yeye kuyatenda labda tungeambiwa amefanya ubadhilifu sawa, wananchi hasa wanachadema wote walishangilia sana kitendo kile kilichofanywa na jeshi la polisi na walifika mbali zaidi, jeshi likapongezwa kwa kazi nzuri ambayo kiuhalisia ilikuwa ni uonevu kwa Sabaya.
Sasa jeshi lilelile kwa kesi ya kuungaunga kwa Mbowe mnalilalamikia Jeshi?
Wote tunatakiwa tulipongeze Jeshi kama tulivyolipongeza lilipomkamata Sabaya na kumbambikia kesi
Hakika maisha kutesa kwa wazamu wazee wetu walimaliza misemo yote!
Hii inchi ina raia wepesi sana wa kusahau mambo ndani ya muda mfupi, juzi tu hapa alikamatwa aliyekuwa DC wa Hai akarundikiwa makosa kibao ambayo kwa nafasi yake ni ngumu sana yeye kuyatenda labda tungeambiwa amefanya ubadhilifu sawa, wananchi hasa wanachadema wote walishangilia sana kitendo kile kilichofanywa na jeshi la polisi na walifika mbali zaidi, jeshi likapongezwa kwa kazi nzuri ambayo kiuhalisia ilikuwa ni uonevu kwa Sabaya.
Sasa jeshi lilelile kwa kesi ya kuungaunga kwa Mbowe mnalilalamikia Jeshi?
Wote tunatakiwa tulipongeze Jeshi kama tulivyolipongeza lilipomkamata Sabaya na kumbambikia kesi