elivina shambuni
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 461
- 295
asante kwa ufafanuzi mwongeze kidogoKwa ninavyofahamu kulitumia jeshi kusafirisha mizigo au bidhaa ya serikali sio kosa ila ni moja ya majukumu ya jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) kupitia Jeshi la kujenga Taifa (JKT).
ASANTE
huyu analeta story za vijiwe vya kahawaSasa kama hakuna vita. Ulitaka hayo magari yaozee yard.!?
utakuwa unapiga mambo mambo siyo bure😛😛😛😛Ngoja nchi ivamiwe wakati magari ya jeshi yamesheheni korosho ndipo utakapojua kuwa maharage si mboga.
huyu hafahamu hata majuku ya Amiri Jeshi Mkuu yupo tu kishabiki tuNaomba nikukumbushe tu mtoa thread, january 9, 2018 Wizara ya kilimo ilitumia gari za jeshi kupeleka Mbolea mkoani Rukwa baada ya Mh Rais kuwawakia Wizara.
Usitumie vibaya vifungu vya kisheria ili kuhalalisha upumbavu wa rais wetu... kwa hiyo kwakuwa na uwezo wa kuamuru majeshi basi ndio kila jambo..?? Kwahiyo hata akitaka agongewe mkewe sawa tu?? Tumia sheria ipasavyo... kwenye ulazima ndio unapaswa kutumia nguvu.. kuna hatari yoyote ya iliyotukabili inayopelekea kutumia majeshi yetu hapo??huyu hafahamu hata majuku ya Amiri Jeshi Mkuu yupo tu kishabiki tuView attachment 930518
Kwani Arusha kuna nini? Kwani Jiwe nj mmeru?Ila kujenga ukuta Mererani kuzuwia Tanzanite isiibiwe ni sawa. Wala hatukusikia hata siku moja jeshi linatumika vibaya, sijui kwasababu kule ni Arusha?
Serious[emoji848][emoji848]Nilishangaa kusikia ile kauli kwamba kuna wafanya biashara kariakoo ambao wata chukuliwa hatua na JWTZ...
Hili swala la ununuzi sijui usombaji wa korosho siyo jukumu la jeshi letu.
Dunia inashangaa kuona jeshi letu badala ya kulinda mipaka ya nchi linatumika kuwatisha raia na mali zao.
Hatukununua magari ya jeshi Kwa ajili ya kusomba korosho ambazo hata hatuja ambiwa zinasombwa kupelekwa wapi.
Kuliingiza jeshi kufanya kazi ndogondogo kama hizo ni kulidhalilisha jeshi letu.
Huenda Amri jeshi hajui muda wa kukagua magari na kutembelea jeshi, ni ule muda ambao Nchi ipo kwenye hatari ya kuvamiwa.
Unapotembelea jeshi Kwa minajili ya kununua korosho tunakua na mashaka na nia yako.
Tulipe jeshi letu heshima.lina kazi kubwa ya kufanya Kwa ajili ya kulinda mipaka ya nchi yetu siyo kusomba sijui kubangua korosho.
Tusitumie jeshi letu kisiasa.
ha ha ha ha ha ha ha
Wakulima wa Mbaazi mmeanza Fitna
Nyie endeleeni kula Mbaazi mpate protin ya kwenye mimea
'Korosho kwanza Mengine baadae'- Hawa Ghasia
Na nyie Wakulima wa Sijui Nyanya Sijui Tikiti vuteni subira nyie tunatumia Magari ya Washawasha kuja kwenu
Mbona mbolea ilipelekwa na jeshi kuna kipindi mahindi yalisafirishwa na jeshi kuna Madaraja mengi yamejengwa na jeshiUsitumie vibaya vifungu vya kisheria ili kuhalalisha upumbavu wa rais wetu... kwa hiyo kwakuwa na uwezo wa kuamuru majeshi basi ndio kila jambo..?? Kwahiyo hata akitaka agongewe mkewe sawa tu?? Tumia sheria ipasavyo... kwenye ulazima ndio unapaswa kutumia nguvu.. kuna hatari yoyote ya iliyotukabili inayopelekea kutumia majeshi yetu hapo??
Asanteasante kwa ufafanuzi mwongeze kidogo View attachment 930508
Fikiria bas hata kidogoooMmeishiwa hoja mmekuwa kama wenye fistula muda wote kitu kinatoka.
Aliyekwambi wanajeshi wote wanaenda kubeba korosho ni nani?
Hopeless kabisa.
Hata hiyo ni kazi ya jeshi pia mkubwaHili swala la ununuzi sijui usombaji wa korosho siyo jukumu la jeshi letu.
Dunia inashangaa kuona jeshi letu badala ya kulinda mipaka ya nchi linatumika kuwatisha raia na mali zao.
Hatukununua magari ya jeshi Kwa ajili ya kusomba korosho ambazo hata hatuja ambiwa zinasombwa kupelekwa wapi.
Kuliingiza jeshi kufanya kazi ndogondogo kama hizo ni kulidhalilisha jeshi letu.
Huenda Amri jeshi hajui muda wa kukagua magari na kutembelea jeshi, ni ule muda ambao Nchi ipo kwenye hatari ya kuvamiwa.
Unapotembelea jeshi Kwa minajili ya kununua korosho tunakua na mashaka na nia yako.
Tulipe jeshi letu heshima.lina kazi kubwa ya kufanya Kwa ajili ya kulinda mipaka ya nchi yetu siyo kusomba sijui kubangua korosho.
Tusitumie jeshi letu kisiasa.
Uandishi wa habar ni shida kweli...heading na issue yenyewe tayar imeegamia kwa mwandishi kutaka kutafsirika namna alivyotengeneza heading.......[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 930160
Account yako imedukuliwa?ha ha ha ha ha ha ha
Wakulima wa Mbaazi mmeanza Fitna
Nyie endeleeni kula Mbaazi mpate protin ya kwenye mimea
'Korosho kwanza Mengine baadae'- Hawa Ghasia
Na nyie Wakulima wa Sijui Nyanya Sijui Tikiti vuteni subira nyie tunatumia Magari ya Washawasha kuja kwenu