Jeshi letu libadilike kuendana na teknolojia

Jeshi letu libadilike kuendana na teknolojia

Ndio tatizo la kujaza akili visoda jeshini
Sasa hii ndio nini


1694162427942.png
 
Hoja ni kwamba:Kuna umuhimu wa kuonesha "fitness" kwenye dhifa za taifa au kusaka "bukta" zenye muonekano wa mavazi ya jeshi nyumba kwa nyumba?Is that much of a healthy fatique?

Culture za majeshi zimetofautiana sana

west forces wanafanya demo za airshows where ndege mbali mbali zinaruka, parades, recruitment events zinafanyika vyuoni,mashuleni.

Hawafanyi demo za fitness kama za kwetu
Sisi ya kwetu imekuwa influenced na east eropean countries. huo utamaduni umetoka huko
East europe na Russia ,china,north korea ,even south korea bado wanafanya.

Lakini west european countries hawafanyi, badala yake wame focus ku show airpower na technologies.

Kusaka nguo za jeshi mtaani sio core function ya jeshi, maybe kumekuwa na utapeli unaofanywa na so called askari wa jeshi fulani kumbe ni combat tu wamevaa, is why wanazisaka, japo am not shure

America mtu anaweza vaa full combat, lakin ili kuwa identify kama ni askari au lah kuna kitambulisho maalumu.
Na wana database ina contain members mpaka wastaafu.
+ kwao si rahis kutumia mavazi ya jeshi kutapeli.
 
Culture za majeshi zimetofautiana sana

west forces wanafanya demo za airshows where ndege mbali mbali zinaruka, parades, recruitment events zinafanyika vyuoni,mashuleni.

Hawafanyi demo za fitness kama za kwetu
Sisi ya kwetu imekuwa influenced na east eropean countries. huo utamaduni umetoka huko
East europe na Russia ,china,north korea ,even south korea bado wanafanya.

Lakini west european countries hawafanyi, badala yake wame focus ku show airpower na technologies.

Kusaka nguo za jeshi mtaani sio core function ya jeshi, maybe kumekuwa na utapeli unaofanywa na so called askari wa jeshi fulani kumbe ni combat tu wamevaa, is why wanazisaka, japo am not shure

America mtu anaweza vaa full combat, lakin ili kuwa identify kama ni askari au lah kuna kitambulisho maalumu.
Na wana database ina contain members mpaka wastaafu.
+ kwao si rahis kutumia mavazi ya jeshi kutapeli.
Wenzetu amerika na nchi nyingi Duniani raia wanaruhusiwa kuvaa nguo za jeshi sio fake tu hata original
 
Wenzetu amerika na nchi nyingi Duniani raia wanaruhusiwa kuvaa nguo za jeshi sio fake tu hata original

America wana viwango fulani vya kuvaa nguo hizo, ukianza kuvaa kwa mpaka medali za jeshi , or military patch units and ranks in public ,inakuwa considered as impersonation of military personel na Hapo umevunja sheria. Na hii ni mpaka UK na some west european countries
Combat ,mabuti yes
 
America wana viwango fulani vya kuvaa nguo hizo, ukianza kuvaa kwa mpaka medali za jeshi , or military patch units and ranks in public ,inakuwa considered as impersonation of military personel na Hapo umevunja sheria. Na hii ni mpaka UK na some west european countries
Combat ,mabuti yes
Tunaongea combat tu bila rank
 
Kijana unakaribishwa kwenye kikosi chochote kilichopo karibu na wewe ili ujionee au kuuliza teknolojia uliyoina marekani,south korea,china na ulaya ili uoneshwe.

Yaani unataka kwenye maonesho wapeleke kompyuta pale,sasa wananchi wataonaje ase?
 
Ni ushauri tu uchukueni, zama za kuvunja tofali kwa mkono sio sasa, kuonjesha likifua sijui unazuia roli kwa kichwa sio zama hizi.

Hizi nizama ambazo unatumia nguvu kidogo akili ni nyingi. Majeshi ya Ulaya na Marekani nadhani mnayaona, hukuti tofali wala mtu kapaka mafuta usoni ila ni rocket tu zenye speed laki tatu kwa sekunde.

Sasa nyie endeleeni kujipa ujiko kwa sisi walalahoi sijui kukagua sare, sijui kutupigisha pushup haina maana yoyote ile kugombana na Watanzania wenzenu.

Wanasiasa wenyewe mdebwedo utegemee kupata jeshi la kisasa kweli
 
Tunaongea combat tu bila rank


Hamna mahali nimepinga. Nimeelezea limitation za wenzetu ziko wapi kwneye sheria zao.
Lakini pia nimeelezea culture wise majeshi yametofautiana na nchi zimetofautiana. We cant be the same
 
Ni ushauri tu uchukueni, zama za kuvunja tofali kwa mkono sio sasa, kuonjesha likifua sijui unazuia roli kwa kichwa sio zama hizi.

Hizi nizama ambazo unatumia nguvu kidogo akili ni nyingi. Majeshi ya Ulaya na Marekani nadhani mnayaona, hukuti tofali wala mtu kapaka mafuta usoni ila ni rocket tu zenye speed laki tatu kwa sekunde.

Sasa nyie endeleeni kujipa ujiko kwa sisi walalahoi sijui kukagua sare, sijui kutupigisha pushup haina maana yoyote ile kugombana na Watanzania wenzenu.
Nchi ya Tanzania hatuna potential enemy,yaani namaanisha hatuna uwezekano wa kivamiwa na nchi yoyote au kikundi chochote katika hiki kizazi Cha sasa,nikupe mfano wa nchi ya Korea kaskazini walivyo na uhasimu na majirani zao Korea kusini,au Taiwan walivyo Kaa katika mkao wa kivamiwa na China mpaka Huwa wanafanya mazoezi ya drill za kupambana na mvamizi,sisi huku hatuko hivyo,sisi tunafanana na nchi kama Switzerland au Luxemburg.
Kuwa na jeshi lenye zana za kivita zenye gharama kubwa ni upotevu wa fedha, heri fedha za kununuliwa masilaha ya kisasa yenye gharama kubwa zingeingizwa kwenye kilimo cha umwagiliaji,ufugaji na uvuvi.
 
Back
Top Bottom