Jeshi letu libadilike kuendana na teknolojia

Jeshi letu libadilike kuendana na teknolojia

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,575
Reaction score
31,012
Ni ushauri tu uchukueni, zama za kuvunja tofali kwa mkono sio sasa, kuonjesha likifua sijui unazuia roli kwa kichwa sio zama hizi.

Hizi nizama ambazo unatumia nguvu kidogo akili ni nyingi. Majeshi ya Ulaya na Marekani nadhani mnayaona, hukuti tofali wala mtu kapaka mafuta usoni ila ni rocket tu zenye speed laki tatu kwa sekunde.

Sasa nyie endeleeni kujipa ujiko kwa sisi walalahoi sijui kukagua sare, sijui kutupigisha pushup haina maana yoyote ile kugombana na Watanzania wenzenu.
 
Chukua hiyo!
 

Attachments

  • IMG-20230129-WA0003.jpg
    IMG-20230129-WA0003.jpg
    19.2 KB · Views: 3
Ni ushauri tu uchukueni, zama za kuvunja tofali kwa mkono sio sasa, kuonjesha likifua sijui unazuia roli kwa kichwa sio zama hizi.

Hizi nizama ambazo unatumia nguvu kidogo akili ni nyingi. Majeshi ya Ulaya na Marekani nadhani mnayaona, hukuti tofali wala mtu kapaka mafuta usoni ila ni rocket tu zenye speed laki tatu kwa sekunde.

Sasa nyie endeleeni kujipa ujiko kwa sisi walalahoi sijui kukagua sare, sijui kutupigisha pushup haina maana yoyote ile kugombana na Watanzania wenzenu.
Elimu ni muhimu, wachaguliwe waliopasi na kufanya vizuri vyuoni hasa watu wa science
 
Ni ushauri tu uchukueni, zama za kuvunja tofali kwa mkono sio sasa, kuonjesha likifua sijui unazuia roli kwa kichwa sio zama hizi.

Hizi nizama ambazo unatumia nguvu kidogo akili ni nyingi. Majeshi ya Ulaya na Marekani nadhani mnayaona, hukuti tofali wala mtu kapaka mafuta usoni ila ni rocket tu zenye speed laki tatu kwa sekunde.

Sasa nyie endeleeni kujipa ujiko kwa sisi walalahoi sijui kukagua sare, sijui kutupigisha pushup haina maana yoyote ile kugombana na Watanzania wenzenu.

Hayo uliyoyasema ni body conditioning na fitness tu. Lakin hawaendi vitani wakiwa na idea za kuvunja tofauli no, vitani wana vifaa vingi tu.

Tena america ili wakuamini lazima uwe fiti kimwili. Na wana seriers of test ili uwe Qualified then advanced level inacuata ambapo technology imetawala
 
Hayo uliyoyasema ni body conditioning na fitness tu. Lakin hawaendi vitani wakiwa na idea za kuvunja tofauli no, vitani wana vifaa vingi tu.

Tena america ili wakuamini lazima uwe fiti kimwili. Na wana seriers of test ili uwe Qualified then advanced level inacuata ambapo technology imetawala
Hoja ni kwamba:Kuna umuhimu wa kuonesha "fitness" kwenye dhifa za taifa au kusaka "bukta" zenye muonekano wa mavazi ya jeshi nyumba kwa nyumba?Is that much of a healthy fatique?
 
Hahaha 1st gen sijui zile. 😁😁 Haya mambo acha tu. F22 moja ikija inasambatisha zote.
kombora tu lile la Surface to Air missile linaloifuata ndege linatosha kuisamnaratisha MiG siku hizi ndege za kisasa zinaoperate kwenye high altitude sua rahisi uzipige na SAM tofauti na hizi zetu zinaruka kwenye low altitude
 
Back
Top Bottom