Riziki Mohammed
Senior Member
- Mar 4, 2017
- 118
- 205
» Soko limeteketea Shinyanga huku wakilitizama kwasababu wamekuja eneo la tukio na Gari isiyo na maji.
» Gari imeteketea Muhumbili wakaja kulitazama tu na Gari isiyo na maji
» Wako busy kuuza Fire Extinguishers kwa lazima kwenye maofisi ya watu na kushonesha Unform kila kukicha lakini Moto ukitokea hawaji kwa muda, na wakija basi ni kama wanakuja kuomboleza pamoja na waathirika badala ya kuzima moto.
SIAMINI KAMA BADO WANAENDELEA KULA MISHAHARA WAKATI MOTO HAWAZIMI.
» Gari imeteketea Muhumbili wakaja kulitazama tu na Gari isiyo na maji
» Wako busy kuuza Fire Extinguishers kwa lazima kwenye maofisi ya watu na kushonesha Unform kila kukicha lakini Moto ukitokea hawaji kwa muda, na wakija basi ni kama wanakuja kuomboleza pamoja na waathirika badala ya kuzima moto.
SIAMINI KAMA BADO WANAENDELEA KULA MISHAHARA WAKATI MOTO HAWAZIMI.