Mwana Taaluma
JF-Expert Member
- Oct 21, 2019
- 857
- 2,055
Practice Muda mwingi pia ni wataalamu sana wa ndumba.We bwana umenikumbusha kitu,mjomba aliwahi nisimulia kuhusu comando wa Congo ni balaa wale wana uwezo mkubwa sana nasikia basi tu sijui inakuaje pale
Hapa hatutafiti mshindi ila kueleza fact.Hiyo Project ya Total Mozambique ni zaidi ya Dola za Kimarekani Billioni 30 Mozambique itafaidika na huo mradi ni pesa nyingi sana Askari wa Rwanda walipwe Direct na Total ili Gesi ichimbwe ipelekwe sokoni
Najua we sio mfuatiliaji ila umesikia hizo story. Lakini nawe kabla ya kuyachukua jiongeze na uchanganye na za kwako kiasi ili upate jibu sahihi.Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC
Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo.
Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi yaliyofanyika na America pia akaingilia. SADEC ikazuiwa kufanya mashambulizi hata mashambulizi kwa kutumia ndege wamezuia.
Shida ndipo ilipo
Hao Russia wenyewe mizinga yao inadunguliwa na UkraineHii ni SAMIM bunduki Israel gear za mchina.
Mkuu kubali ukatae JWTZ ni wajuzi wa hizi kazi, Kagera war haipingiki. Ni experience inayo ishi ktk vizazi vya wapiganaji na makamanda. Kama kweli we ni mfatiliaji utajua kua hata upigaji wa Mizinga wa Tanzania ni waki Russia. Ambayo ni experience tuliyo ipata Toka enzi za harakati za ukombozi. Fatilia video zinazo onyesha askali wa Tanzania wakifanya live fire🔥. Hata Bm21 bavuor machine upigaji wa Tanzania ni ule ule wa kirusi na hata uchina upigaji wake ni tofauti na sisi.
UN chapter 6 and 7Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC
Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo.
Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi yaliyofanyika na America pia akaingilia. SADEC ikazuiwa kufanya mashambulizi hata mashambulizi kwa kutumia ndege wamezuia.
Shida ndipo ilipo
Ipi hiyo mkuu. Uudungue mzinga?. Alafu usiichukulie ukrain kizembe warusi ndio hao hao wa ukrein pia silaha za Ukraine sio za kitoto mzee.Hao Russia wenyewe mizinga yao inadunguliwa na Ukraine
Unasifia ujinga hapa na kuingia kwenye nchi wenye majeshi yaliyokosa nidhamu mnawaonga vipesa wanasaliti mnakuja kujisifia ujinga hapa.Ingieni na Tanzania Kama mlivyoingia congo kutumiaWe acha historia ya hadithi ya vita vya Idi Amini.
Adui atakuogopa tu kwa uwezo wako kwenye uwanja wa mapambano na uwezo wa kumtia adui hasara na sio hadithi za mababu ama stori za vijiweni.
Katika medani, moja ya njia za kupata ushindi ni kutambua uwezo na nguvu za adui. Kama utakosea hesabu hizo na kutumia mazoea ya jana, hilo litakuwa kosa kubwa
.
Na wasio jua wanawaona Rwanda na kim23 wao kuwa Wana nguvu. Hao takataka mwezi wa kwanza tu happy walifulimushwa na tz wakaanza kubweka Kama mbwa mdomo juu.Kuna jambo ambalo watu wengi hawajui kuhusu Congo na SADEC
Jeshi la SADEC kule Congo limezuiliwa kupigana vita badala yake wanatoa msaada kwa jeshi la Congo.
Mwazoni Jeshi la SADEC lilikuwa linapigana kuna mashambulizi yalifanyika Jeshi la Tanzania, M23 wakapeleka malalamiko UN maamuzi yaliyofanyika na America pia akaingilia. SADEC ikazuiwa kufanya mashambulizi hata mashambulizi kwa kutumia ndege wamezuia.
Shida ndipo ilipo
Bro hebu soma tena ulichokiandika.Unasifia ujinga hapa na kuingia kwenye nchi wenye majeshi yaliyokosa nidhamu mnawaonga vipesa wanasaliti mnakuja kujisifia ujinga hapa.Ingieni na Tanzania Kama mlivyoingia congo kutumia
M23 yenu kijeshi alafu lete habari zako za kuwa idi amini ni historia tu. Na kabla hamjaingia tafuteni nchi ambayo mtampeleka uamishoni kimbaumbau kwenu.
Sirudii kusoma usingewasifia na kutema wako vizuri kuliko walinda amani congo na msumbiji. Pia unataka Ile vita ya Tanzania na idi Amin ni historia tu maana ya historia tulikua na nguvu now hazipo. Jichanganyeni na m23. Kwani Tanzania madini hakuna? Waje si waroho wa madini.Bro hebu soma tena ulichokiandika.
Kabla hujachekwa uanze kijicheka mwenyewe!
Kwanza nikusahihishe kidogo. Hakuna vita ya Tanzania na Idi Amin.Sirudii kusoma usingewasifia na kutema wako vizuri kuliko walinda amani congo na msumbiji. Pia unataka Ile vita ya Tanzania na idi Amin ni historia tu maana ya historia tulikua na nguvu now hazipo. Jichanganyeni na m23. Kwani Tanzania madini hakuna? Waje si waroho wa madini.
Umewapa somo zito saaanaMkuu hoja ya kuitegemea south Africa sio timilifu japo Ina matter. Operation nyingi za SADEC huwa zina back up ya mataifa makubwa.
SAMIM mchina alijitolea kufund nje ya bajet ya SADEC France the same. Pia nikujuze France inafanya juhudi kubwa kuli hozi soko la silaha la Tanzania, Kwa kutaka kuipiku NATO community weapon deployed in Tanzania. Kwa Muda mrefu Tanzania wasambazaji wakubwa wa silaha walikua ni Russia,China, North Korea,UK,na turkey.
Ila kwasasa mfumo wa wa ugavi silaha wa bongo umejikita zaidi. Uchina Kwa silaha hasa land force na Navy Air for. Russia Air defense na strategy weapon hasa hasa makombola. France Air force na Navy. Israel light weapon na Uturuki Kwa bunduki na drone.
Pia Kuna masoko ya kimkakati kama. Italy Kwa transport mfano ni Iveco na Sasa tume oder C-27J Spartan 2. Kuzisaidia zile Shaanxi Y8 na An 12 zinazoenda kuretire. Amerika Kwa mifumo ya mawasiliano, India nk.
Hivyo hoja ya kusema Rwanda Wana air defense Kali sio kweli hizo unazosema, WZ551 6×6 IFV mobile SAM system. Ni silaha za kujikinga na object ndogo ndogo na zinazo fly chini chini kama helicopter na drone ambazo jeshi la congo na Un wamekua wakizitumia. Either ktk surveillance au attack Kwa waasi wa M23.
South Africa sio wazuri ktk gorilla 🦍 warfare. Ndio maana hata kimajukumu Tanzania ndio inayo hold zaidi jungle to jungle battle, pia hapo hapo ktk SAMIDRC hawapigani pamoja Kila mtu anapewa majukumu yake hivyo ukinzani wanao kutana nao M23 Kwa Tanzania hata wewe unapokea habari zake pia najua unajua south hawafanyi operation za aina hiyo wao haswa ni air attack. Halipingwi hili.
Unasema story za Kagera war wakati fact zipo mkuu. Kubali ukatae JWTZ singe wanachoma kweli kweli.
wewe tu ndo hujui Majeshi ya rwanda msumbiji yanafadhiliwa na naniSwalama wakuu!
Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa Afrika SADC inajiandaa kuondoa kikosi chake lilichoko Msumbiji kusaidia serikali kupambana na magaidi wa kiislaam ifikapo July 15 2024 baada ya kuwa huko tangu 2018 mwishoni.
Kikosi hicho kijulikanacho kama SAMIM chenye jumla ya wapiganaji 1900 kimekuwa huko kwa lengo la kupambana na magaidi, kujenga uwezo kwa majeshi ya serikali lakini pia kuongeza wigo wa misaada ya kiutu kwa raia.
Wakati SADC wakijikusanya mdogomdogo kukusanya vikosi, rais wa Msumbiji Phelipe Nyusi mwaka 2020 alifanya ziara Rwanda na kukutana na rais Kagame na kuomba msaada wa kijeshi.
Mwaka 2021 Rwanda ilipeleka askari 1000 na ndani ya miezi 3 walifaniliwa kuiteka moja ya ngome ya waasi na kukomboa miji kadhaa kutoka milononi mwa magaidi.
Jambo la kushangaza wakati SADC wanaondoa majeshi yake kutokana na ukata, Rwanda mpaka sasa imeendelea kuongeza askari kifikia 2500 nchini Msumbiji kulinganisha na 1900 wa SADC wanaotarajiwa kuondoka ili hali bado hali ya usalama haijatengemaa kwenye maeneo wanayo yaacha kwa vikosi vya serilali
Ajabu nyingine:
Wakati SADC wakitegemea michango ya AU, China na wafadhili mbalimbali, mpaka muda huu hakuna ajuaye ni nani anagharamia oparesheni za majeshi ya Rwanda yanayo onekena kuwa na vifaa bora na vya kisasa kulinganisha na kikosi cha SAMIM kinachoundwa na askari 1900, askari 1400 wakitoka Afrika ya kusini na wengine kutoka nchi za Botwana, Angola, Malawi, Tanzania na Namibia.
Majeshi ya Rwnda yamejikita maeneo ya Acube, Montepuez na pemba kutokana na maeneo hayo kuwa shuguli za madini ya graphite na gemstones pamoja na Carbo delgado eneo lenye shughuli za uchimbaji wa mafuta pamoja na mkoa wa Palma wenye utajiri wa madini mbalimbali.
Wadadisi wanadai huenda Wanyarwanda wameahidiwa kupewa mafuta na madini kama malipo ya kazi.Raisi Nyusi ametembelea Rwanda mara nyingi kuliko nchi yeyote ya SADC. Na katika moja ya ziara Nyusi alipewa na Kagame zawadi ya shamba pamoja na ng'gombe wenye pembe kubwa.
Ukaribu usio wa kawaida kati ya maraisi hawa na operation za kijeshi zinazotekelezwa bila ya kuwapo uwazi anaegharamia oparesheni za kijeshi kwa vikosi vya Rwanda nchini Msumbiji
Pia hali ya Rwanda kujikita kimkakati na kiufanisi maeneo yenye utajiri wa madini unaleta jibu kuwa huenda wanapigania kwa moyo kile walicho kubaliana kati ya Nyusi na Kagame
Wachambuzi wa masuala ya kiusalama barani Afrika pia wanafananisha hali ya DR Congo ambako SAMDRC ina pambana na waassi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda.
Ni katika hali kama hiyo, majeshi ya waasi wa m23 yameonekana kutumia silaha bora kuliko za SADC na hata mafanikio ya kikosi cha SADC nchini DRC bado ni madogo kulingana na maadui wao.
Wakati kikosi cha SADC kinagharamiwa na UN, M23 na Rwanda haijulikani nani anawafadhili kwa kiwango kikubwa kiasi hiki kuwa na uwezo wa kukabiliana na kuwapa changamoto majeshi ya SADC.
Kwa mantiki hiyo, utaona kuwa Rwanda huwa hana masihala na eneo lolote barani Afrika ilimradi pawe na raslimali.
Pia kwa kuangalia tu mifano ya nyendo za oparesheni za kijeshi za nchi ya Rwanda nchini Msumbiji na DRC , mwenye akili anapata jibu kuwa kuna wenye nguvu wako nyuma ya nchi hii ndogo ya Afrika Mashariki.
Kwa mantiki hii, huenda amani DRC isipatikane kwa njia ya vita bali mazungumzio juu ya meza.
Hizo zinabaki kuwa hisia binafsi.wewe tu ndo hujui Majeshi ya rwanda msumbiji yanafadhiliwa na nani
Ni ufaransa kulinda makampuni yake ya gesi
DRC players ni uingereza,USA na ufaransa….
Now u know
Umeilinganisha na nani mpaka useme ni bora zaidi?Hizo zinabaki kuwa hisia binafsi.
Fact huambatana na evidence.
Weka ushahidi wa hisia zako ili utushawishi.
Siipendi RDF ila naukubali uwezo wake kijeshi. Ni jeshi jeshi bora zaidi kwa ukanda huu wa east,central and southern africa. Takwimu za uwanja wa mapigano zinaibeba RDF
Kama we ni mfuatiliaji wa mission za kijeshi ukanda huu sikutarajia uulize swali kama hiliUmeilinganisha na nani mpaka useme ni bora zaidi?