Otto Von Bismark
Member
- Aug 20, 2014
- 8
- 8
Jeshi la polisi limeasi kwa kutumwa kuasi na Chama Cha Mapinduzi na serikali yake ili litumike kuwakandamiza wananchi wadai haki. Wabunge wa tiketi ya CCM wameasishwa na chama chao ili kuwafanya wananchi kuwa watumwa wao badala ya kuwa waajiri wa serikali.
Chama cha CCM na serikali yake vimefanya haki kuwa anasa kwa muda mrefu na kuzuia uwezekano wa kudaiwa haki hizo na kuingiza kwenye vichwa vya watanzania kuwa MAANDAMANO NI HATARI SANA, wakati sivyo ili wawanyang'anye kila haki yao.
Mtu asiyeruhusiwa kuandamana na kugoma kudai haki hiyo siyo mtu huru. Kwahiyo, Sisi Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi tunatoa RAI kwa polisi wakome mara moja kuzuia maandamano yanayoitishwa, kwa sababu wakiandamana wananchi nasi tunapata haki zetu kwani kisheria hatuandamani na kugoma.
Fahamuni ya kuwa Waandamanaji ni watoto wetu, Wazazi wetu, Wake zetu, Ndugu zetu, Jamaa zetu na Wananchi wenzetu kwa ujumla. Hawa ndiyo mnaowapiga mchana kweupe huku mkizungumza wazi wazi kama wanaCCM kwa sababu mmeruhusiwa kuchukua rushwa mchana kweupe na kuweza kumiliki mali nyingi kila mmoja kwa urefu wa kamba yake. Mmejenga majumba ya kifahari na kununua magari ya kisasa kwa ajili yenu na wazazi wenu, wakati sisi wanajeshi ambao tuna jukumu la kulinda nchi wazazi wetu wakiendelea kuteseka na maisha ya shida na taabu pamoja nasi wenyewe.
Mkistaafu hamuendi kufanya ukorokoroni kama sisi, maana mnapokea kodi za nyumba zenu na magari yenu mliyopata kwa RUSHWA mlizoruhusiwa kuchukua mchana kweupe, tuna uchungu sana tunapoona wananchi wanaodai haki zao kwa maandamano mkiwatesa.
Tunaudhika sana mnapokurupuka kuzuia maandamano kwa kusingizia taarifa za kiintelijensia ambazo hamzitumii kwa uhalifu mwingine, ambapo tumegundua uharibifu mkubwa unaotokana na matumizi makubwa ya nguvu kuzuia maandamano kuliko ambavyo mngewaacha wananchi wakaandamana kwa amani.
Mmeua watu kwa risasi, mmeua watu kwa mabomu, HATUTAKI TENA kuona mkizuia maandamano ya wananchi kijinga kijinga hivi. Sisi Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi tunaamini kuwa wananchi wakidai haki hata sisi tutapata, mkiwazuia nasi tunakosa haki hizo pamoja na familia zetu.
Kwahiyo, tunawataka polisi kuacha kuwaasi wananchi. Wananchi endeleeni na maandamano na migomo, Polisi watakaopambana nanyi watavuna kupoteza wazazi wao, wake zao, watoto wao popote nchini wakati wa maandamano ama baada ya maandamano mpaka watakapoacha kuzuia maandamano kwa kutumiwa na wanasiasa wa CCM, Wananchi nanyi waangamizeni polisi na watu wao popote waishipo kwani siyo walinzi wa wananchi tena.
Wananchi kumbuka nchi zote zilizosonga mbele duniani kote ni kwa sababu ya migomo na maandamano ya wananchi, nchi yetu inadumaa kwa sababu ya wananchi kuzuiliwa kuandamana na kugoma. Serikali ya CCM imewafanya wananchi mazezeta.
Bunge la Katiba limekataa tukiona kwa macho yetu kuwa UWAZI, UWAJIBIKAJI na UADILIFU eti zisiingizwe kwenye katiba mpya kwa madai kwamba hizo ni TABIA ZA MTU BINAFSI, hawa ndiyo polisi wanazuia wananchi wasiandamane kuwapinga, eti wapo kihalali. Kihalali kutenda uhalifu kwa kukataa maoni ya wananchi!
Hizi siyo siasa msitufanyie ujinga, vinginevyo mnatulazimisha tuasi... Tumechoka sasa tunasema IMETOSHA!
Wenu,
Haki
Msemaji
Chama cha CCM na serikali yake vimefanya haki kuwa anasa kwa muda mrefu na kuzuia uwezekano wa kudaiwa haki hizo na kuingiza kwenye vichwa vya watanzania kuwa MAANDAMANO NI HATARI SANA, wakati sivyo ili wawanyang'anye kila haki yao.
Mtu asiyeruhusiwa kuandamana na kugoma kudai haki hiyo siyo mtu huru. Kwahiyo, Sisi Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi tunatoa RAI kwa polisi wakome mara moja kuzuia maandamano yanayoitishwa, kwa sababu wakiandamana wananchi nasi tunapata haki zetu kwani kisheria hatuandamani na kugoma.
Fahamuni ya kuwa Waandamanaji ni watoto wetu, Wazazi wetu, Wake zetu, Ndugu zetu, Jamaa zetu na Wananchi wenzetu kwa ujumla. Hawa ndiyo mnaowapiga mchana kweupe huku mkizungumza wazi wazi kama wanaCCM kwa sababu mmeruhusiwa kuchukua rushwa mchana kweupe na kuweza kumiliki mali nyingi kila mmoja kwa urefu wa kamba yake. Mmejenga majumba ya kifahari na kununua magari ya kisasa kwa ajili yenu na wazazi wenu, wakati sisi wanajeshi ambao tuna jukumu la kulinda nchi wazazi wetu wakiendelea kuteseka na maisha ya shida na taabu pamoja nasi wenyewe.
Mkistaafu hamuendi kufanya ukorokoroni kama sisi, maana mnapokea kodi za nyumba zenu na magari yenu mliyopata kwa RUSHWA mlizoruhusiwa kuchukua mchana kweupe, tuna uchungu sana tunapoona wananchi wanaodai haki zao kwa maandamano mkiwatesa.
Tunaudhika sana mnapokurupuka kuzuia maandamano kwa kusingizia taarifa za kiintelijensia ambazo hamzitumii kwa uhalifu mwingine, ambapo tumegundua uharibifu mkubwa unaotokana na matumizi makubwa ya nguvu kuzuia maandamano kuliko ambavyo mngewaacha wananchi wakaandamana kwa amani.
Mmeua watu kwa risasi, mmeua watu kwa mabomu, HATUTAKI TENA kuona mkizuia maandamano ya wananchi kijinga kijinga hivi. Sisi Wanajeshi wa Jeshi la Wananchi tunaamini kuwa wananchi wakidai haki hata sisi tutapata, mkiwazuia nasi tunakosa haki hizo pamoja na familia zetu.
Kwahiyo, tunawataka polisi kuacha kuwaasi wananchi. Wananchi endeleeni na maandamano na migomo, Polisi watakaopambana nanyi watavuna kupoteza wazazi wao, wake zao, watoto wao popote nchini wakati wa maandamano ama baada ya maandamano mpaka watakapoacha kuzuia maandamano kwa kutumiwa na wanasiasa wa CCM, Wananchi nanyi waangamizeni polisi na watu wao popote waishipo kwani siyo walinzi wa wananchi tena.
Wananchi kumbuka nchi zote zilizosonga mbele duniani kote ni kwa sababu ya migomo na maandamano ya wananchi, nchi yetu inadumaa kwa sababu ya wananchi kuzuiliwa kuandamana na kugoma. Serikali ya CCM imewafanya wananchi mazezeta.
Bunge la Katiba limekataa tukiona kwa macho yetu kuwa UWAZI, UWAJIBIKAJI na UADILIFU eti zisiingizwe kwenye katiba mpya kwa madai kwamba hizo ni TABIA ZA MTU BINAFSI, hawa ndiyo polisi wanazuia wananchi wasiandamane kuwapinga, eti wapo kihalali. Kihalali kutenda uhalifu kwa kukataa maoni ya wananchi!
Hizi siyo siasa msitufanyie ujinga, vinginevyo mnatulazimisha tuasi... Tumechoka sasa tunasema IMETOSHA!
Wenu,
Haki
Msemaji