Tabia ya Jeshi la polisi kukana kumshikilia mtu hadi watu wapige kelele au watishie kugoma au kuandamana ni Utekaji.
Sheria inataka unapo mkamata mtu, moja ya haki yake ya msingi ni kuwasiliana na ndugu zake au mwanasheria wake au la umfikishe Mahakamani.
Imekuwa ni tabia ya jeshi la polisi kumshikilia mtu kwa muda mrefu pasipo kutoa taarifa kwa ndugu zake au kumfikisha mahakamani kama sheria inavyosema, ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
Sheria inataka unapo mkamata mtu, moja ya haki yake ya msingi ni kuwasiliana na ndugu zake au mwanasheria wake au la umfikishe Mahakamani.
Imekuwa ni tabia ya jeshi la polisi kumshikilia mtu kwa muda mrefu pasipo kutoa taarifa kwa ndugu zake au kumfikisha mahakamani kama sheria inavyosema, ni uhalifu kama uhalifu mwingine.