jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,140
- 29,670
Jeshi la polisi liombwe kuruhusu maandamano ya amani ya watanzania wazalendo bila kujali itikadi ya vyama ili kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais za kupambana na wizi,ubadhirifu,unyonyaji na ukwepaji kodi unaofanywa na baadhi ya wawekezaji wasio waaminifu!
Vijana wa Vyuo vikuu hii ni fursa ya kujitanabaisha kuwa TAIFA liko hai na liko tayari kwa mapambano ya muda mrefu hadi pale Maisha na Ustawi wa Tanzania yatakapoboreka kwa kadri ya Mungu alivyotujalia.
.....
VIVA MAMA TANZANIA!
Vijana wa Vyuo vikuu hii ni fursa ya kujitanabaisha kuwa TAIFA liko hai na liko tayari kwa mapambano ya muda mrefu hadi pale Maisha na Ustawi wa Tanzania yatakapoboreka kwa kadri ya Mungu alivyotujalia.
.....
VIVA MAMA TANZANIA!