chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,725
- 31,305
Chadema na watu wao walipitisha tetesi eti kwamba kuna mpango wa kumuwekea sumu ndugu Lissu. Hizi ni tuhuma mbaya. Nilitarajia watu wanaomsogelea Lissu Mahakamani wawe regulated na vyombo vya dola.
Nasema hivyo kwa sababu inawezekana hao wanaojichekesha hapo Mahakamani wakijifanya wanajuana na Lissu wakaitumia fursa hiyo kumdhurukumdhuru halafu wasingizie serikali.
Naona wanaomsogelea, wanampa mkono kama kumsalimia, kwa tuhuma zilizotolewa, hiyo ni hatari, kuna watu wanaweza kuwa wamepaka vitu mkononi na mengine kama hayo.
Nalipongeza Jeshi la Magereza kwa kuwazuia watu waliotaka kukaa na Lissu Mahakamani kwa muda mrefu. Dhamana ya usalama wa Lissu iko kwa Jeshi la Magereza
Nasema hivyo kwa sababu inawezekana hao wanaojichekesha hapo Mahakamani wakijifanya wanajuana na Lissu wakaitumia fursa hiyo kumdhurukumdhuru halafu wasingizie serikali.
Naona wanaomsogelea, wanampa mkono kama kumsalimia, kwa tuhuma zilizotolewa, hiyo ni hatari, kuna watu wanaweza kuwa wamepaka vitu mkononi na mengine kama hayo.
Nalipongeza Jeshi la Magereza kwa kuwazuia watu waliotaka kukaa na Lissu Mahakamani kwa muda mrefu. Dhamana ya usalama wa Lissu iko kwa Jeshi la Magereza