Jesca Jonathan Unatafuta nini kwa kupinga mabadiliko ya Katiba ya CCM?

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,747
jesca-oct31-2015.jpg

JESCA JONATHAN MSAMBATAVANGU.

Unatafuta nini kwa kupinga mabadiliko ya katiba ya ccm.

Tunataka ufahamu kuwa mipango yako yote ya kupinga dhamira nzuri ya chama cha mapinduzi imefahamika,umekuwa mstari wa mbele kupinga mipango yote mizuri inayopendekezwa na chama kuhusu mabadiriko ya katiba ya ccm kwa malengo unayoyajua mwenyewe.

Mipango yako yote inafahamika,vikao vyote unavyofanya kushawishi wajumbe wengine waungane na wewe kwenye mandalizi haya inafahamika,hakika umefika hatua mbaya na haya tunayaita mapinduzi dhidi ya uongozi uliopo madarakani pia ni mapinduzi kwa watanzania na wanaccm wote wapenda mabadiriko.

Unashirikiana na watu waliohama ccm na sasa mnahangaika kutengeneza ccm nyingine ndani ya ccm hatimaye mpate kile ambacho mnakitaka ili kuendelea kunufaika kupitia chama badala ya kukitumikia chama na kuwa watumishi wa watanzania.

Tunafahamu pesa unazolipwa kukivuruga chama kuanzia mkoani kwako na maeneo mengine,lakini kwa kuwa umeshajulikana harakati zako hizi zitakuacha kwenye hali mbaya na kamwe hutavumiliwa na hutafanikiwa fahamu hivyo.

Tunakushauri ukae chini utafakari faida na hasara za haya unayofanya,unataka kupata nini hasa,kwakuwa mipango yako yote imefahamika ni vema ukaachana na harakati hizi ambazo hazina afya wala tija kwa chama,serikali hata watanzania kwa ujumla badala yake zitakuharibia wewe zaidi.

Kama kutumika umetumika sana,sasa huu ni wakati wa kuacha kutumika kwakuwa mwisho wake hautakuwa mzuri kwako kwa kuendelea kutumiwa na mafisadi pamoja na madalali wa siasa.

Huu ni wakati wa kuungana pamoja,kuunga mkono mabadiriko ndani ya chama yenye manufaa kwa watu wote na siyo chama kuwa mali ya mtu flani badala ya chama kuwa mali ya wanachama.
 
Dada Jesca mnamwonea bure tu; kaharibu sana hata IMANI yake kwa Mungu kupitia haya mambo yake ya siasa. Jesca ni school mate wangu A-level, I know her vizuri sana, akisoma HGL na mimi nikiwa PCM pale Mkwawa high school (sasa university) Uchaguzi wa marudio ya ubunge baada ya KIFO cha Dr. Mgimwa (RIP) pale Tosamaganga (nilimsoma tu kwenye vyombo vya habari) nilijiuliza sana kama Jesca yule wa Mkwawa ndio huyu huyu wa ccm?
 
View attachment 478969
JESCA JONATHAN MSAMBATAVANGU.

Unatafuta nini kwa kupinga mabadiliko ya katiba ya ccm.

Tunataka ufahamu kuwa mipango yako yote ya kupinga dhamira nzuri ya chama cha mapinduzi imefahamika,umekuwa mstari wa mbele kupinga mipango yote mizuri inayopendekezwa na chama kuhusu mabadiriko ya katiba ya ccm kwa malengo unayoyajua mwenyewe.

Mipango yako yote inafahamika,vikao vyote unavyofanya kushawishi wajumbe wengine waungane na wewe kwenye mandalizi haya inafahamika,hakika umefika hatua mbaya na haya tunayaita mapinduzi dhidi ya uongozi uliopo madarakani pia ni mapinduzi kwa watanzania na wanaccm wote wapenda mabadiriko.

Unashirikiana na watu waliohama ccm na sasa mnahangaika kutengeneza ccm nyingine ndani ya ccm hatimaye mpate kile ambacho mnakitaka ili kuendelea kunufaika kupitia chama badala ya kukitumikia chama na kuwa watumishi wa watanzania.

Tunafahamu pesa unazolipwa kukivuruga chama kuanzia mkoani kwako na maeneo mengine,lakini kwa kuwa umeshajulikana harakati zako hizi zitakuacha kwenye hali mbaya na kamwe hutavumiliwa na hutafanikiwa fahamu hivyo.

Tunakushauri ukae chini utafakari faida na hasara za haya unayofanya,unataka kupata nini hasa,kwakuwa mipango yako yote imefahamika ni vema ukaachana na harakati hizi ambazo hazina afya wala tija kwa chama,serikali hata watanzania kwa ujumla badala yake zitakuharibia wewe zaidi.

Kama kutumika umetumika sana,sasa huu ni wakati wa kuacha kutumika kwakuwa mwisho wake hautakuwa mzuri kwako kwa kuendelea kutumiwa na mafisadi pamoja na madalali wa siasa.

Huu ni wakati wa kuungana pamoja,kuunga mkono mabadiriko ndani ya chama yenye manufaa kwa watu wote na siyo chama kuwa mali ya mtu flani badala ya chama kuwa mali ya wanachama.

Inaonekana umetokea kanda ya ZIWA ! Mwanza kuelekea Chato mpaka Bukoba !
 
WACHA KUMUONEA HUYU MAMA,,,MBONA MNATAKA KUMTOA SADAKA PASIPO HAKI,,,,NANI ASIYEJUA CCM IMEPITIA MTIHANI MZITO 2015 ,,,,IRINGA MJINI NI NGOME AMBAYO TUMEISHINDWA KWA MUDA MREFU NA TANGU ZAMA ZA KINA MZEE SITAKI ...1995 KIBASA ALIMSHINDA KITINE....2010 JESCA ALIHUSIKAJE KUSHINDWA KWA MBEGA .....MKOA MZIMA KAPOTEZA IRINGA PEKEE MMEMSHUPALIA....CCM HAIPASWI KUWA SHAMBA LA SIASA ZA VISASI....HATUWEZI KUPENDWA KOTE EEEE JAMAAA...MUNGU ANALAUMIWA ITAKUWA CCM?!!!!
 
Sasa mwambie hizo pesa za Wabwia unga alizopokea kuvuruga mkutano zitamtokea puani
Unataka kunambia hata mbunge wa zamani wa Kinondoni nae haungi mkono mabadiriko? What about the former prince nae vipi!? Sorry na yule mwenyeji wa Daudi kule bondeni na yeye nae haungi mkono mabadiriko? Mwisho rejea maneno ya mzee Butiku, "Chama changu Sisiem ndio vinara wa rushwa na wala hilo silionei aibu kulizungumza popote"
 
Back
Top Bottom