Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Mbunge wa Ukonga, Mhe. Jerry Silaa, ameahidi ujenzi wa barabara ya lami katika Kata ya Kivule, akisema kero hiyo itaondolewa hivi karibuni.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza katika fainali ya Jerry Silaa Ramadhani Cup, Silaa pia amewahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Aidha, amesisitiza umuhimu wa michezo kama fursa ya ajira kwa vijana.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza katika fainali ya Jerry Silaa Ramadhani Cup, Silaa pia amewahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura. Aidha, amesisitiza umuhimu wa michezo kama fursa ya ajira kwa vijana.