Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,042 Reaction score 7,474 Mar 5, 2010 #21 m-bongotz said: Hakuna cha kushangaza hapo, inategemea alikopa lini na interest kwenye ile principal amount ime-accrue kiasi gani. Click to expand... Huyo jamaa anajitafutia umaarufu tu.....sasa hiyo si kesi ya madai? na JM amesimamishwa kazi? akisema atamlipa lakini atakapopata kipato si itakula kwa huyo jamaa!
m-bongotz said: Hakuna cha kushangaza hapo, inategemea alikopa lini na interest kwenye ile principal amount ime-accrue kiasi gani. Click to expand... Huyo jamaa anajitafutia umaarufu tu.....sasa hiyo si kesi ya madai? na JM amesimamishwa kazi? akisema atamlipa lakini atakapopata kipato si itakula kwa huyo jamaa!
mucadam Member Joined Oct 18, 2008 Posts 28 Reaction score 1 Mar 5, 2010 #22 Tulikuwa nae songea last week, yupo jamani. Its all about ajali kazini
Tumsifu Samwel JF-Expert Member Joined Jul 30, 2007 Posts 1,408 Reaction score 162 Mar 5, 2010 #23 Emanuel Makofia said: YUPO kapandishwa kizimbani juzi anadaiwa alikopa gari akaahidi angemaliza deni kashindwa jamaa andai 15mil.nuksi bin nuksi.......lol! Click to expand... Hakukopa gari bali alikopa million moja na nusu ili kutoa gari lake bandari.
Emanuel Makofia said: YUPO kapandishwa kizimbani juzi anadaiwa alikopa gari akaahidi angemaliza deni kashindwa jamaa andai 15mil.nuksi bin nuksi.......lol! Click to expand... Hakukopa gari bali alikopa million moja na nusu ili kutoa gari lake bandari.
macho_mdiliko Platinum Member Joined Mar 10, 2008 Posts 28,313 Reaction score 57,099 Mar 5, 2010 #24 CarthbertL said: Hakukopa gari bali alikopa million moja na nusu ili kutoa gari lake bandari. Click to expand... Kumbe ndio maana alikuwa anasaka fedha za kulipa kwa udi na uvumba! Ikibidi kwa kutishia mtu kwa pingu!!! Makubwa!!
CarthbertL said: Hakukopa gari bali alikopa million moja na nusu ili kutoa gari lake bandari. Click to expand... Kumbe ndio maana alikuwa anasaka fedha za kulipa kwa udi na uvumba! Ikibidi kwa kutishia mtu kwa pingu!!! Makubwa!!
babukijana JF-Expert Member Joined Jul 21, 2009 Posts 15,959 Reaction score 20,281 Mar 5, 2010 #25 Mfamaji said: toka umeingia humu unaandika vitu havieleweki. Umetokea wapi? Click to expand... he he heee,great thinker kashtuka
Mfamaji said: toka umeingia humu unaandika vitu havieleweki. Umetokea wapi? Click to expand... he he heee,great thinker kashtuka
GM7 JF-Expert Member Joined Jun 26, 2009 Posts 492 Reaction score 24 Mar 5, 2010 #26 CarthbertL said: Hakukopa gari bali alikopa million moja na nusu ili kutoa gari lake bandari. Click to expand... Bwa ha ha ha ha ha ha ha. Nimeipenda sana avatar hii, teh teh teh teh, yaani kabla sijasoma post yako nimecheka kwanza.
CarthbertL said: Hakukopa gari bali alikopa million moja na nusu ili kutoa gari lake bandari. Click to expand... Bwa ha ha ha ha ha ha ha. Nimeipenda sana avatar hii, teh teh teh teh, yaani kabla sijasoma post yako nimecheka kwanza.