Yeah, well said.Mpira hata haujui, jana beki zetu zilijisahau kufanya Marking, ndio maana magoli yote ni ya set piece. Mimi na washangaa ndugu zangu makolo wanao sema Azam walicheza mpira, mimi sijaona mpira walio cheza bali ni wa kawaida.
Ila aliye waokoa Azam ni Kipa, kipindi cha kwanza alicheza mipira mingi ya hatari,jana kipa wa Azam alikuwa bora sana la sivyo tungewapiga nne au tano.