Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

Huyo demu ni malaya tu. Demu yoyote anaeacha mwanamme kwa ajili ya mwanamme mwengine sababu ya hela au starehe ni Malaya.
Aslay ndiye alimwacha Tessy,tena binti wa watu hadi alichakaa kwa mawazo enzi hizo ana kitoto kichanga,aslay akawa na mwanamke mwingine ambaye kazaa naye pia
Jembe ni jembe katoka na baby mama wa asaly(Tessy) akiwa ashaachwa na aslay
 
Aslay ndiye alimwacha Tessy,tena binti wa watu hadi alichakaa kwa mawazo enzi hizo ana kitoto kichanga,aslay akawa na mwanamke mwingine ambaye kazaa naye pia
Jembe ni jembe katoka na baby mama wa asaly(Tessy) akiwa ashaachwa na aslay
Ukimwacha demu af akachukuliwa na Mwamba mwingine tena ana mawe kukuzidi lazima ikuume tuuu
 
Hihihihihihi ngoja nicheke kwanza mkuu hihihihihihi
Gharama ya kupata leseni ya TV kwa sasa hivi sio chini ya dola laki tatu hapo zamani miaka hiyo wanaanzisha 1999 na ITV 1995 ilikuwa dola laki 5.
.
Sasa hivi kuna vituo vya TV vingiiiiii na vimekuwa vingi kwa sababu urushaji wake nao umekuwa rahisi, unaanzisha kituo cha TV unanunua makorokoro yanayohitajika then unachagua Satellite unayotaka ikurushie matangazo yako kama ni SES au Eutelsat ni wewe hao ndio operator yani hata Clouds tv wakilala bado TV haiwezi kupotea hewani .
.
Million 28 na 23 ni pesa nyingi sana acha kuzichukulia poa ni mafao ya mtu uzeeni hayo, hata kama ana utajiri wa trillion 1 bado atapata tabu kuendesha vituo mnavyo mbambikizie, Clouds Fm na TV ndio zinaleta mapato makubwa sana kuliko kwingine kotee sasa atatoa mapato yake mfukoni au kutoka Clouds media aendeshee Jembe ni jembe?
.
Idadi ya wafanyakazi wa jembe ni jembe, Wasafi media, clouds media kwa ujumla wafanyakazi kama mia nne na ushehe hivi atawamudu?
.
Mwisho umesema yani kusaga akupe manpower kina Mchomvu na B12 waje kutrain kwenye radio yako eti ili akupe inspiration sidhani kama ulinielewa nadhani ulikuwa bado uko usingizini, Hao kina jembe ni jembe wamefanya kazi CMG, Wafanyakazi kibao wa wasafi media kama Mo town sanya mafundi wametoka CMG sasa akisema kuna mkono wake kwenye hizo media utakataa?
.
Jembe ni jembe ni kama mtoto wa clouds, mtu ambaye kasimama bila nguvu kutoka clouds ni majizo pale myu wa kutoka CMG ni mmoja tu Dinna marios
Na ibrahim masoud maestro
 
Jembe ni Jembe ni Sebastian Ndege aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Fm miaka ya nyuma na mwanzilishi wa kipindi cha NJIA PANDA cha Cloudsfm.Kama umfahamu vizuri.Tafuta nyimbo ya Leah ya Prince DullySykes alifanya outro.Kitaaluma ni daktari.

Kuhusu Harmonize kuhusishwa kusajiliwa na huyu mwamba ni kweli.Hata show za hivi karibuni za harmonize jamaa ameonekana kusimamia mchezo kama one of the managers and promoter.Inasemekana wanataka kununua mkataba wa harmonize pale usafini.Na ndiyo yeye ambaye Mkubwa Fela anamlalamikia kumvuruga Kondeboy kwa kumwaga mapesa.Na hivi karibuni atafungua TV yake.

Jembe[Sebastian Ndege]inasemekana baadaye alikuja kuzinguana na marehemu Ruge.
 
Jembe ni Jembe ni Sebastian Ndege aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Fm miaka ya nyuma na mwanzilishi wa kipindi cha NJIA PANDA cha Cloudsfm.Kama umfahamu vizuri.Tafuta nyimbo ya Leah ya Prince DullySykes alifanya outro.Kitaaluma ni daktari.

Kuhusu Harmonize kuhusishwa kusajiliwa na huyu mwamba ni kweli.Hata show za hivi karibuni za harmonize jamaa ameonekana kusimamia mchezo kama one of the managers and promoter.Inasemekana wanataka kununua mkataba wa harmonize pale usafini.Na ndiyo yeye ambaye Mkubwa Fela anamlalamikia kumvuruga Kondeboy kwa kumwaga mapesa.Na hivi karibuni atafungua TV yake.

Jembe[Sebastian Ndege]inasemekana baadaye alikuja kuzinguana na marehemu Ruge.
Sawa Sawa, huyu mwamba kamchukua konde boy, tuone sasa umafia wake
 
Jembe ni Jembe ni Sebastian Ndege aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Fm miaka ya nyuma na mwanzilishi wa kipindi cha NJIA PANDA cha Cloudsfm.Kama umfahamu vizuri.Tafuta nyimbo ya Leah ya Prince DullySykes alifanya outro.Kitaaluma ni daktari.

Kuhusu Harmonize kuhusishwa kusajiliwa na huyu mwamba ni kweli.Hata show za hivi karibuni za harmonize jamaa ameonekana kusimamia mchezo kama one of the managers and promoter.Inasemekana wanataka kununua mkataba wa harmonize pale usafini.Na ndiyo yeye ambaye Mkubwa Fela anamlalamikia kumvuruga Kondeboy kwa kumwaga mapesa.Na hivi karibuni atafungua TV yake.

Jembe[Sebastian Ndege]inasemekana baadaye alikuja kuzinguana na marehemu Ruge.

Jamaa wa usafini walimtingisha dogo kama anataka kuondoka aweke milioni mia 6 mezani waachane kiroho kesho yake dogo katimba na bmw x6 na milioni mia 6 kwenye buti, diamond akachomoa wayasolve na swahiba yake...mameneja wa usafini wanamchukia sana dogo kwa sababu ameshakuwa mkubwa na hawawezi kum control tena...
 
Jamaa wa usafini walimtingisha dogo kama anataka kuondoka aweke milioni mia 6 mezani waachane kiroho kesho yake dogo katimba na bmw x6 na milioni mia 6 kwenye buti, diamond akachomoa wayasolve na swahiba yake...mameneja wa usafini wanamchukia sana dogo kwa sababu ameshakuwa mkubwa na hawawezi kum control tena...
Mambo ni Moto , Jembe ni jembe kachafua hali ya hewa
 
Jamaa wa usafini walimtingisha dogo kama anataka kuondoka aweke milioni mia 6 mezani waachane kiroho kesho yake dogo katimba na bmw x6 na milioni mia 6 kwenye buti, diamond akachomoa wayasolve na swahiba yake...mameneja wa usafini wanamchukia sana dogo kwa sababu ameshakuwa mkubwa na hawawezi kum control tena...
Dah..

600M kwenye buti.

Only drug dealers wanafanya miamala kwa bulk cash ya namna hii.
 
ouk
harmo na team yake walipofika sudan hapo juzi, hotelini walikuj wasanii wengi kumsalimia,(wa hapo sudan).. sasa kwa kuwa walikuwa wengi na harmo walimfuata chumbani kwake.. hakuwa na muda wa kumjua mmoja mmoja..
jembe ni jembe akashuka chini kumchukulia msosi harmo.. kufika akamkuta jamaa mmoja pembeni kajitenga kimya tofauti na wasanii wenzake!.. akamuuliza vipi? jamaa akasema anaomba kumpa hi harmo
jembe akampeleka mpaka juu kwa harmo.. muda ukawa mchache so mabaunsa wakamtoa jamaa nje..
baadae harmo na team yake wameenda club.. kufika huko wakakuta goma moja linapigwa. watu shangwe sanaa.. ghafla harmo akashikwa bega na mtu.. kugeuka anakuta ni yule mshkaj wa hotelini!.. jamaa akamwambia harmo goma langu hiloo..
mabaunsa wakamtoa jamaa. jembe akamwambia njoo kesho hotelini sasa 4..jamaa kesho moja asubuh yupo pale! wakafanya remix ya hiyo ngoma hela ya video hana jabulant akashika camera buree. now hi

Una mwandiko kama wa Jembe ni Jembe
 
Jembe ashawah kufanya kazi na kusaga, ila baadae Jembe alipambana sana na kuamua kuanzisha maisha yake
Hajapambana chochote,amemanage tu mabilioni ya insurance kampuni ya babake na walikuja kupata deal la ku-insure mali za CCM nchi nzima.
 
600m uko serious ndgu,yani seba atoe 600m kuwalipa wcb kwa kuvunja mkataba basi harmo ni zaidi ya almasi
Jamaa wa usafini walimtingisha dogo kama anataka kuondoka aweke milioni mia 6 mezani waachane kiroho kesho yake dogo katimba na bmw x6 na milioni mia 6 kwenye buti, diamond akachomoa wayasolve na swahiba yake...mameneja wa usafini wanamchukia sana dogo kwa sababu ameshakuwa mkubwa na hawawezi kum control tena...
 
Hizo tarakimu ni rahisi kuzitaja ila hana uwezo huo hata robo ya hiyo 600m,yaleyale ya mofaya tuliambiwa mzingo unakuja mpka leo hakuna duka unaweza kupata mofaya.wabongo tunapenda kuongeza sifuri sana
Jembe ni jembe mill 600 anazo , labda changamoto yake ni kuhoji experience yake kama ataweza kumanage msanii mkubwa kama Harmonize....Yule Mwamba keshi anayo
 
600m uko serious ndgu,yani seba atoe 600m kuwalipa wcb kwa kuvunja mkataba basi harmo ni zaidi ya almasi

Ha ha mkuu milioni 600 kwa kuvunja mkataba unadhani ni nyingi?unajua anaingiza kiasi gani kwa mwaka?wengi mnadhani dhiki mlizo nazo basi kila mtu anazo, wanaingiza hela aisee huyo harmonize tukisema tuondoe sifuri moja ni ili kuvunja mkataba iwe milioni 60, amini show mbili tuu akifanya analipa, kwa uwekezaji waliofanya wasafi unahisi harmonize kwa potential yake na muda uliobaki kwenye mkataba wake ana thamani gani?
 
Back
Top Bottom